Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Maelezo kwa ufupi juu ya clip ikionyesha wanajeshi katili wakiua raia

Assad ni mshenzi...
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Mungu ni mwema sana. Hawa vijana waliojitoa uhai na kuhakikisha Assad anakimbia ni watu wa Pekee sana.
 
JamiiForums




Maelezo kwa ufupi juu ya clip ikionyesha wanajeshi katili wakiua raia​

1 of 6Next Last
Subscribe
•••
[IMG alt="100 others"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/447/447243.jpg?1634091774[/IMG]

100 others

JF-Expert Member​

Hii clip nimeiona kutoka kwenye uzi alioanzisha mdau anaitwa GoldDhahabu wenye kichwa cha habari Hawa wanajeshi katili ni wa wapi? .

View: https://streamable.com/ly7v6f

Kuna maelezo mengi tofauti na sehemu kubwa si sahihi.

Tukio linaonyesha raia ambao wamefungwa mikono na kuzibwa macho wakikokotwa na askari, pasipo raia hao kujua wanaelekea wapi au pengine wakifahamu wanaelekea mahala salama wanaangukia kwenye shimo lililoandaliwa tayari na kupigwa risasi vichwani, baada ya askari hao kumaliza kuwapiga risasi mmoja baada ya mwingine, askari hao wakiwa wameshatanguliza matairi ya gari kwenye shimo, wanawasha moto na kuteketeza miili hio.



Hili tukio lilitokea 16 April 2013 nchini Syria katika mji mkuu Damascus, askari wanao onekana kutekeleza unyama huo wanatokea kitengo cha intelijensia katika jeshi la Syria (Military Intelligence Directorate (Syria)), na specifically hao askari wapo katika kitengo kinachohusika na ukatili, utesaji na mauaji pasipo huruma. Yaani kwenye Syrian Military Intelligence kuna hiki kitengo kwa ajili ya utesaji, mauaji na ukatili wa kila aina unaoufahamu.

Syrian Military Intelligence ipo chini ya raisi, inaendeshwa na Bashar Al Assad mwenyewe, kitengo hiki kimekuwa kimetumika pia kwenye siasa hasa kuwakandamiza wale wanaotaka kuleta upinzani lazima cha moto utakiona.

Hii clip imevuja mwaka 2022, inasemekana kuna mtu alipata access ya laptop iliyokuwa na clip hii, akacopy na kuihifadhi, inasemekana ni askari wa Syria.
Aliyetambulika kwenye hii clip ni Major Amjad Yousef ambae anaonekana kuwapiga risasi raia hao pasipo huruma, askari huyu katili inasemekana amejiunga na jeshi mwaka 2004, baadae baada ya mafunzo akajiunga na branch 227 katika Syrian Intelligence Service kitengo maalumu kwa ajili ya utekaji, kutesa na kuua hasa wapinzani katika serikali ya Syria.

Kwa ufupi hao raia wanauliwa kikatili inasemekana hawana kosa, kilikuwa ni kipindi cha mapigano ambapo waasi walikuwa wanakaribia eneo hilo, hivyo askari hao walitaka kuonyesha mfano kwa yeyote ambae atajaribu kuwa upande wa uasi. Raia hao inasemekana waliishi karibu kabisa na eneo ambalo kulikuwa na upinzani.

Raia waliouawa wakati huo ni 41, waliouawa kwenye hilo shimo. Hata hivyo inasemekana waliouawa wengine ni wanakadiriwa 200 au 300 katika maeneo mengine

Baada ya clip kuvuja, Amjad alikamatwa na serikali ya Syria 2022, Amjad amekamatwa pasipo warrant na hajafikishwa mahakamani, wachambuzi wa mambo wanasema kukamatwa kwa Amjad ni kuzuia waliojihusisha na unyama huo waliopo ngazi za juu wasifahamike.

Serikali ya marekani ilitoa sanctions juu ya Amjad Yousef mnamo March mwaka huu 2023 , secreatry of state Anthony Blinken alisema vikwazo hivyo ni kwa ajili ya mauaji hayo yaliyofanyika.
Naikumbuka hii clip. Assad alikuwa shetani on Earth
 
hii inatukumbusha watanzania tusijaribu kukosea kuwapa nchi wapinzani mambo kama haya tutayashudia kwani tutapoteza amani tulionayo hadi sasa
 
Je, haijapata kuandikwa ya kwamba mamlaka zote hutoka kwa Muumba? Tena andiko lile hali-categorize ila lataja tu mamlaka bila sifa za ziada?

Tusemeje sasa? Kwamba, andiko lile ni questionable? Kwamba, halimaanishi mamlaka hizi tunazozifahamu? Kwamba, halimaanishi Muumba huyu anayejulikana? Au tusemeje?
Mamlaka zote ziko chini yake hata hao wenye mamlaka, hata zikiwa mbaya ataziruhusu ila Zina kikomo.
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Madikteta na wale wanaojiitaga wajamaa ni makatili kuliko kawaida maana Huwa wanalinda madaraka Kwa gharama kubwa ya Ukatili wa ubinadamu.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani isiyokuwa na jela na kikosi cha mauaji, hakuna.
Narudia tena!, kila nchi inazo hizi jela...

Mfano; Israel ina jela maalum kwa ajili ya kuwatesa wapalestina, na hii ni miaka na miaka ipo. Fuatilia kinachoendelea Guantanamo uone ukatili uliopo...
Kinachofanyika sasa ni propaganda za The matrix, wanakuchagulia kile unachopaswa kusikia na siyo kile usichopaswa kusikia yaani unakuwa brain washed na hii ndiyo nguvu ya The matrix kupitia stream media.
Kinachoendelea pale Syria kwa sasa ndo kama ngoma bado mbichi, hakuna amani itakayopatikana pale. USA ataendelea kujichotea mafuta pale kuliko ilivyokuwa hapo awali...
 
Je, haijapata kuandikwa ya kwamba mamlaka zote hutoka kwa Muumba? Tena andiko lile hali-categorize ila lataja tu mamlaka bila sifa za ziada?

Tusemeje sasa? Kwamba, andiko lile ni questionable? Kwamba, halimaanishi mamlaka hizi tunazozifahamu? Kwamba, halimaanishi Muumba huyu anayejulikana? Au tusemeje?
Maandiko ya kwenye vitabu vya wagalatia,warumi.,wakolintho .,waebrania ,wathesalonike ,na vitabu vingine kama Hivyo si ya kuchukulia seriously sana
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Nchi zote Zina Ukatili ila unafuu uko kwenye Nchi za kidemokrasia.

Assad alitesa na kuua watu 60,000
 
Ninachokiamini hakuna dikteta anayedumu wananchi wakiamua kweli kweli kumtoa.

Huyo mshenzi tangu 2011 Arab spring ilipopita alipona pona ila watu hawakuchoka sasa kang'olewa na kukimbilia uhamiashoni

Watu wakichoka hakuna jeshi, polisi,usalama wa taifa wala chombo chochote cha kuwazuia.

Saa hizi yuko Russia aliokuwa anawatuma watu wamewamaliza wengine hata hajui walipo.
 
Back
Top Bottom