Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Duuh huyu jamaa alikuwa mwovu sana.
Japo pia wakwetu huku nako ni wauaji wa kimya kimya japo Kwa kiwango Cha chini
 
Biblia inaagizaa waumini watii mamlaka kama sehemu ya kudumisha amani na utaratibu wa kijamii. Lakini kuna mifano mingi katika maandiko ambayo watu walikataa kutii mamlaka za kibinadamu zilizokwenda kinyume na mapenzi ya Mungu, kama vile Danieli, Petro, na Paulo.

Mtume Petro alisema, "Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu" (Matendo ya Mitume 5:29).

Hivyo basi Warumi 13:1 inaposema "Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu" haimaanishi kwamba kila kiongozi au serikali inayotawala ni yenye haki au imeidhinishwa kwa matendo yote. Andiko hili linazihusu serika ambazo zime earn kibali cha kupewa utii, ndiyo maana Petro akasema tumelazimika kumtii Mungu.
 
Hii ni mifumo ya Dunia nzima.kila serikali inatesa watu wanaoikosoa.mfano hapa nyumbani chini ya huyu mama mkatili kuliko wanawake wote duniani.Kaua hadharani mzee kibao,mbise,soka, na qengine wengi zaidi ya miamoja kama walivyoorodheshwa na TLS.Serikali ya mama haitaki kukosolewa
 
Mtoa mada ni mfuasi wa moosa nyumba 1=3 haoni ya Israel, jela zza Israel ni kuliko hayo, we huoni mpaa mbwa analazimishwa amuingilie mwanaume, taifa la mungu wa kikristo noma sana. Mungu gani anaye ruhusu ushoga, uwaji hio ya Bashar haifiki hata 5% ya jela za Israel.
 
Nafurahi sana unapoleta mada na kuweka Ushahidi ili wale mamluki wa Kiarabu wanaoamini siku zote kuwa Waarabu na Waislam wanaonewa wakose vya kusema

Ujue Wazungu wana akili sana na hawakurupuki, wanafanya Investigation ya Uhakika

Mimi niliumizwa sana walipouawa watoto wa Sadam Hussein akina Quday Hussein

La Haula, kuja kuona clips zake alichokuwa anawafanyia wananchi wa Iraq ni zaidi ya Ushetani

Huyu Assad naye ni Dictator muuaji kabisa
 
Yaani Mimi hata Gadaf Huwa nawashangaa sana wanaosema alionewa. Hawa madikteta ni makatiri sana .
Hata mm huwa nawa shangaa kwa kweli. Hawa watu ni hatari sana. Hawana huruma na uhai wa mtu yeyote anaepishana nao kimtazamo au kidini
 
Unawafahamu wakatoliki kwelii?, utawala wa Papa katoliki naweza kusema ndio tawala zilizokuwa na adhabu kali na zakikatili dunia hii.

Fikiria mtu anapasuliwa kwa msumeno juu hadi chini.

Mara uachumwa moto hai

Haujakaa sawa Papa mmoja anasema mnyama paka ni mnyama wa shetani popote akionekana auliwe

Watu walichemshwa kwenye mafuta ya moto na watu wakaenda kanisani kuongoza sala na kuhubiri upendo.
 
Jamaa lilikuwa katili sana!

Yaani bora hata uuliwe kwa kupigwa risasi kuliko kufa kwa kugandamizwa na kusagwa!
 
Hili ni swali gumu kwa wafia dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…