Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Hakuna ubishi mkuu dalili zote zipo mpaka za mzee wa ndovu kuweweseka na kusema atabadili sheria ili mwananchi wa kawaida afukuze wafanyakazi wa Umma, only in Tanzania , Nchi ya vituko na utapeli.
 
kama ni hivyo basi NCCR ingeshachukua nchi siku nyingi sana maana uchaguzi wa kwanza tu wa vyama vingi walipata more that 30%. tumia kichwa kufikiria.
kwa taarifa yako wagombea urais wa ccm wanahofiana wao kwa wao kuliko hata huo upinzani. wanajua kabisa wakeshapita kwenye zile kamati kuu zao biashara imeisha. mitanzania ndivyo tulivyo, ajisemea nyani ngabu.

Kwa hali ya kisiasa nchini, Chadema imeimarika zaidi ya miaka ilio pita kama 2010, naweza kusema kwamba Chadema jinsi ilivyo imarika ni Mara Mbili au tatu an zaidi ya 2010, hivi tujiulize ccm 2015 itakuwa hai? Kwa vigezo vipi? Hebu tuangalie uchaguzi wa 2010.
MATOKEO RASMI YALIYOTANGAZWA LEO

1. KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO: 96, 933 (1.12%)

2. KIKWETE JAKAYA MRISHO/CCM: 5,276,827 (61.17%)

3. SLAA WILLIBROD PETER/CHADEMA: 2,271,941 (26.34%)

4. LIPUMBA IBRAHIM HARUNA/CUF: 695,667 (8.067%)

5. RUNGWE HASHIM SPUNDA/NCCR-MAGEUZI: 26,388 (0.31%)

6. MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT/TLP:17,482 (0.20%)-

7. DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA/UPDP: 13,176 (0.15%)

----------------------------------------------

WALIOJIANDIKISHA KUPIGA KURA: 20, 137, 303

WALIOJITOKEZA KUPIGA KURA: 8, 626 (42.64%)

KULA HALALI ZILIZOPIGWA: 8,398,394

KURA ZILIZOHARIBIKA 227,889 (2.64)

Ukiangalia hapo ccm imeanguka asilimia 20 ukilinganisha uchaguzi wa 2000 -2005, hivyo 2015 tunaizika, tuanze kushona sanda, ah haina haja mana hawa wamekula mali za umma sana.

Ukawa oyeee,
Tanganyika kwanza
Zanzibar kwanza,
Shirikisho daima
 
Ni kweli cdm imeimarika, lakini sijaona mikakati ya dhati ya kuchukua dola mwaka 2005, labda serikali za mitaa pengine!
 
UKAWA lazima tushinde uchaguzi 2015 ccm kama bado wana ndoto za kuendelea kutawala watakuwa wanaota ndoto za mchana hawawezi kufanikiwa kamwe
 
Hivi ukawa ndio chama gani hicho??? Samahani lakini nimetoka Tanganyika muda kidogo hivyo si vibaya kuuliza!!!
 
tutaona mengi sana mpaka 2015 tunapoingia kwenye uchaguzi,mbona hilo daftari la wapiga kura halirekebishwe?
 
Uchaguzi mkuu ungefanyika 2011/2012 CCM walikuwa na wakati mgumu sana ila 2015 Ushindani utaishia kwenye kura za maoni ndani ya CCM pekee baada ya hapo ni kwenda kukamilisha tu matakwa ya kikatiba upinzani sana kwa sasa
 
Kimesajiliwa??? nani mwenyekiti na katibu? makao makuu ya chama wapi???

huna tofauti na Wasira ambae kila siku namsikia kwanye TV anasema eti mimi sijui kitu kinachoitwa UKAWA na wewe kwa akili zako unaona kwamba,hiyo ni hoja ya maana ndio maana kila siku uwa nasema kwamba ccm bado wana hoja za miaka ya 40 eti wanaweza kumwambia mtu jiunge ccm kwa kuwa rangi yetu ni kijani sawasawa na majani yote
 
Tamaa na uroho wa madaraka. Ilikuwa umoja wa katiba sasa ni umoja wa urais
 
Back
Top Bottom