Kwa hali ya kisiasa nchini, Chadema imeimarika zaidi ya miaka ilio pita kama 2010, naweza kusema kwamba Chadema jinsi ilivyo imarika ni Mara Mbili au tatu an zaidi ya 2010, hivi tujiulize ccm 2015 itakuwa hai? Kwa vigezo vipi? Hebu tuangalie uchaguzi wa 2010.
MATOKEO RASMI YALIYOTANGAZWA LEO
1. KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO: 96, 933 (1.12%)
2. KIKWETE JAKAYA MRISHO/CCM: 5,276,827 (61.17%)
3. SLAA WILLIBROD PETER/CHADEMA: 2,271,941 (26.34%)
4. LIPUMBA IBRAHIM HARUNA/CUF: 695,667 (8.067%)
5. RUNGWE HASHIM SPUNDA/NCCR-MAGEUZI: 26,388 (0.31%)
6. MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT/TLP:17,482 (0.20%)-
7. DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA/UPDP: 13,176 (0.15%)
----------------------------------------------
WALIOJIANDIKISHA KUPIGA KURA: 20, 137, 303
WALIOJITOKEZA KUPIGA KURA: 8, 626 (42.64%)
KULA HALALI ZILIZOPIGWA: 8,398,394
KURA ZILIZOHARIBIKA 227,889 (2.64)
Ukiangalia hapo ccm imeanguka asilimia 20 ukilinganisha uchaguzi wa 2000 -2005, hivyo 2015 tunaizika, tuanze kushona sanda, ah haina haja mana hawa wamekula mali za umma sana.
Ukawa oyeee,
Tanganyika kwanza
Zanzibar kwanza,
Shirikisho daima