Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Na bado mtakimbiana tu na chagadema yenu.BIG NO! CCM tumewachoka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado mtakimbiana tu na chagadema yenu.BIG NO! CCM tumewachoka!!
Kipi sasa kwani ukawa ni chama.
Acha ubishi Wewe, haya ni madhara ya kutumikishwa na watu wa ufipa. Wenzako wananunua majumba dubai wee unabaki na kisimu chako cha mchina kutetea uhafidhinaBIG NO! no
Tumaini la mbowe,lipumba,mbatia,slaa na maalim seif peke yao
Acha ubishi Wewe, haya ni madhara ya kutumikishwa na watu wa ufipa. Wenzako wananunua majumba dubai wee unabaki na kisimu chako cha mchina kutetea uhafidhina
Hiyo ni misukule mkuu, haijitimbui.Na bado mtakimbiana tu na chagadema yenu.
Acha kukariri,Na bado mtakimbiana tu na chagadema yenu.
Umesikia kutoka wapi?Nasikia tayari mgogoro wa chini kwa chini umeishaanza kufukuta UKAWA, kisa CUF wanalitaka jimbo la Wenje, NCCR-MAGEUZI wanalitaka jimbo la Tundu Lissu, na CHADEMA wanalitaka jimbo la Burhan!
Hapana ni kwa sababu wamenijengea shule za sekondari kila kata nchi nzima, vyuo vikuu vimefika 30, wamenitengenezea barabara za uhakika za lami nchi nzima hivi sasa natoka mtwara dar hadi mwanza kwa bajaji na zaidi ya hapo wamenijengea hospitali za rufaa kila mkoaKwa sababu wewe unaowatumikia wamekujengea na kukupa gari la kutembelea?
Malizia dawa zako kwanza ndipo uje najua siyo wewe unasumbuliwa na kitu fulani kichwani mwako.Teh teh teh kama Ubora wa Rais ni kama aliyepo ambye amekosa msimamo hta kwa maswala mazito ya Kitaifa basi una matatizo ya ubongo.
Wivu mbaya!Tumaini la mbowe,lipumba,mbatia,slaa na maalim seif peke yao
Kwangu mimi bado sioni kama kunakitu pale make wote wale ni watoa habari wa watu wengine ,mbatia alishajiunga na kambi ya lowasa,lipumba ndiyo usiseme wakati malimu anapigania maslahi ya sultani,mbowe naye kila mtu anajua kuwa yeye anafanya biashara ndani ya chama.
Kama kujitambua ni kuwatetea mafisadi basi bora kutojitambua kabisa kuepukana na dhambi ya kulifisidi Taifa.Hiyo ni misukule mkuu, haijitimbui.
Kwa usawa huu umelamba garasa jipange tena hebu niambie kwa sasa unakwamba wapi wakati lami kila sehemu.Acha kukariri,
Utaishia kuwa mlamba miguu tu.
Kwani kunafisadi zaidi ya slaa ambaye mpaka hela za waoto yatima kanisani aliziiba.Kama kujitambua ni kuwatetea mafisadi basi bora kutojitambua kabisa kuepukana na dhambi ya kulifisidi Taifa.
Babaako mdogo.Malimu ndo nini sasa?
Hii post ni ya kama mtu aliyeishia Std 6,halafu Pasco unagonga like bila haya
Mabadiliko ya kweli yatapatikana kupitia ccm pekee
Ruzuku inatokana na wingi wa wabunge au wingi wa kura za Urais?UKAWA wakisimamisha mgombea moja kila sehemu ruzuku ya chama ambayo inatokana na wingi wa wabunge itakwenda chama gani.
Watapasuka tu ngoja filimbi ilie watachimba mashimo wajifukie.Hiyo ni misukule mkuu, haijitimbui.