Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Jamani eeh
Uzi umeeleweka!
Lakini mmeshaanza kuuharibu hivi mnashindwa kuchangia bila maneno ya kijinga na ya kipunbavu?
Hebu tuache utoto, kama huwezi kuchangia soma tu!
Uzi umeeleweka!
Lakini mmeshaanza kuuharibu hivi mnashindwa kuchangia bila maneno ya kijinga na ya kipunbavu?
Hebu tuache utoto, kama huwezi kuchangia soma tu!