Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #241
Kobello
Kuhus nguvu ya serikali ya muungano, tunadhani hilo linajibika. Kazi ya BMK ndiyo hiyo ya kutafuta namna ya kuimarisha
serikali ya shirikisho. Walichokiweka ni sehemu tu ya mapendekezo kufuatana na utafiti wao ambao siyo final say.
Kuna swali ambalo UKAWA hawalijibu kwa sasa. Linaonekana kujirudia sana.
Kwamba, serikali ya muungano itakosa vyanzo vya mapato. Na hapa Kobello unaingia pia.
Swali lisiloulizwa ni hili hapa, kwani kwa sasa hivi chanzo cha uhakika cha mapato ni kipi?
Kumbukeni mzigo wote wa muungano ameubeba Mtanganyika. Sasa tuelezwe chanzo cha uhakika ni kipi.
Kuhusu vyama na asilimia 67, kumbuka kuwa znz chadema haina uzito wowote.
Bado mtinange unabaki kuwa kati ya CUF na CCM. Na hili nakuhakikishia hakuna ukaribu wa ina yoyote kati ya vyama hivyo. In fact hilo ni sehemu inayoongeza nguvu ya UKAWA kwasababu CUF commitment yake ni kubwa kuliko GNU.
Huwezi kusema CUF na CCM wanafanyakazi pamoja ikiwa sasa hivi GNU inapendekezwa ifutwe.
Hivyo, znz wapo likely kuungana na CDM kuliko CCM.
Kuhusu sera za majimbo za CDM, nadhani una jambo nao na hilo nitakuachia uendelee nao.
Hata hivyo naweka rekodi vema. Sera za majimbo hazikukataliwa na wananchi au kukubaliwa.
Nchi yetu wapiga kura hawajafikia kiwango hicho. Wetu bado wanasikiliza 'nichagueni niwaletee maendeleo''
Kutumia matokeo ya chaguzi kama uzuri wa sera ni kitu kisichofaa kabisa. Kobello, hii ni TZN siyo Marekani.
Hakuna uhusiano wa aina yoyote kati ya chaguzi na rasimu. Hata kwenye hizo chaguzi hakukuwa na suala la muundo wa muungano. Kusema chama fulani kilikataliwa kwasababu ya rasimu ni kwenda nje kabisa ya mstari, ni point isiyo na mashiko kabisa. sad!
Ndiyo maana nimesisitiza kuwa kama kuna tatizo la sera kati yako na chama kingine, hilo halihusiani na rasimu.
Na kuutendea uzi haki nadhani lisingejadilika hapa.
Hili la kusema kuna umbea wa makundi, tumelieleza kama mtazamo wetu.
Kila mmoja ana mtazamo wake na wala hajatusema mtu akubaliane nasi.
Kwa rekodi zako tulisema bunge litavunjika katika wiki 2 tangu kuzinduliwa.
Tunaomba radhi kwasababu lilivunjika wiki 3 baada ya hapo. Ukweli utabaki kuwa lilivunjika kama tulivyosema 'umbea'
Tulisema, Sitta hafai kuliongoza bunge, na sasa 'umbea' unaonekana bila kuhitaji diploma.
Tulisema, mchakato huu kikwete amekosea, ilitakiwa mkutano wa kitaifa. Nadhani wengi wanaona tatizo lililopo.
Tukasema BMK si la wanasiasa, wataharibu mchakato. Sijui kama unahitaji darubini kubaini hili
Tukasema, CCM watatumia wingi wao kuburuza bunge. Umbea huo unaonekana bila ceritificate.
n.k
Hili la ugomvi ndani ya CCM litatokea katika siku chache zijazo. Kama halitatokea tunaomba radhi, likitokea tutaukuita hapa.
Karume na Mansour wana ushaiwishi. Laiti ungelijua nini kinaendelea sasa hivi. Hilo naliacha kama lilivyo.
Siyo suala la kupiga kura kuna ushawishi wa kisiasa. Kwani hujui ushawishi ni kitu gani?
Na mwisho, maoni ya watu hutofautina, na wala hatuwezi kuwa na maono sawa.
Hivyo pasipokupenedeza njia bora ni kuvumilia.
Hatudhani name calling inaweza kututofautisha na wahuni wengine.
Ipo siku tutakualika hapa uthibitishe data zaidi.
Nilichokiona katika hoja zako ni kuwa unakubaliana na Tanganyika kubebe mzigo wa muungano. T
Tatizo una ugomvi na watu wenye agenda uipendayo.
Kuhus nguvu ya serikali ya muungano, tunadhani hilo linajibika. Kazi ya BMK ndiyo hiyo ya kutafuta namna ya kuimarisha
serikali ya shirikisho. Walichokiweka ni sehemu tu ya mapendekezo kufuatana na utafiti wao ambao siyo final say.
Kuna swali ambalo UKAWA hawalijibu kwa sasa. Linaonekana kujirudia sana.
Kwamba, serikali ya muungano itakosa vyanzo vya mapato. Na hapa Kobello unaingia pia.
Swali lisiloulizwa ni hili hapa, kwani kwa sasa hivi chanzo cha uhakika cha mapato ni kipi?
Kumbukeni mzigo wote wa muungano ameubeba Mtanganyika. Sasa tuelezwe chanzo cha uhakika ni kipi.
Kuhusu vyama na asilimia 67, kumbuka kuwa znz chadema haina uzito wowote.
Bado mtinange unabaki kuwa kati ya CUF na CCM. Na hili nakuhakikishia hakuna ukaribu wa ina yoyote kati ya vyama hivyo. In fact hilo ni sehemu inayoongeza nguvu ya UKAWA kwasababu CUF commitment yake ni kubwa kuliko GNU.
Huwezi kusema CUF na CCM wanafanyakazi pamoja ikiwa sasa hivi GNU inapendekezwa ifutwe.
Hivyo, znz wapo likely kuungana na CDM kuliko CCM.
Kuhusu sera za majimbo za CDM, nadhani una jambo nao na hilo nitakuachia uendelee nao.
Hata hivyo naweka rekodi vema. Sera za majimbo hazikukataliwa na wananchi au kukubaliwa.
Nchi yetu wapiga kura hawajafikia kiwango hicho. Wetu bado wanasikiliza 'nichagueni niwaletee maendeleo''
Kutumia matokeo ya chaguzi kama uzuri wa sera ni kitu kisichofaa kabisa. Kobello, hii ni TZN siyo Marekani.
Hakuna uhusiano wa aina yoyote kati ya chaguzi na rasimu. Hata kwenye hizo chaguzi hakukuwa na suala la muundo wa muungano. Kusema chama fulani kilikataliwa kwasababu ya rasimu ni kwenda nje kabisa ya mstari, ni point isiyo na mashiko kabisa. sad!
Ndiyo maana nimesisitiza kuwa kama kuna tatizo la sera kati yako na chama kingine, hilo halihusiani na rasimu.
Na kuutendea uzi haki nadhani lisingejadilika hapa.
Hili la kusema kuna umbea wa makundi, tumelieleza kama mtazamo wetu.
Kila mmoja ana mtazamo wake na wala hajatusema mtu akubaliane nasi.
Kwa rekodi zako tulisema bunge litavunjika katika wiki 2 tangu kuzinduliwa.
Tunaomba radhi kwasababu lilivunjika wiki 3 baada ya hapo. Ukweli utabaki kuwa lilivunjika kama tulivyosema 'umbea'
Tulisema, Sitta hafai kuliongoza bunge, na sasa 'umbea' unaonekana bila kuhitaji diploma.
Tulisema, mchakato huu kikwete amekosea, ilitakiwa mkutano wa kitaifa. Nadhani wengi wanaona tatizo lililopo.
Tukasema BMK si la wanasiasa, wataharibu mchakato. Sijui kama unahitaji darubini kubaini hili
Tukasema, CCM watatumia wingi wao kuburuza bunge. Umbea huo unaonekana bila ceritificate.
n.k
Hili la ugomvi ndani ya CCM litatokea katika siku chache zijazo. Kama halitatokea tunaomba radhi, likitokea tutaukuita hapa.
Karume na Mansour wana ushaiwishi. Laiti ungelijua nini kinaendelea sasa hivi. Hilo naliacha kama lilivyo.
Siyo suala la kupiga kura kuna ushawishi wa kisiasa. Kwani hujui ushawishi ni kitu gani?
Na mwisho, maoni ya watu hutofautina, na wala hatuwezi kuwa na maono sawa.
Hivyo pasipokupenedeza njia bora ni kuvumilia.
Hatudhani name calling inaweza kututofautisha na wahuni wengine.
Ipo siku tutakualika hapa uthibitishe data zaidi.
Nilichokiona katika hoja zako ni kuwa unakubaliana na Tanganyika kubebe mzigo wa muungano. T
Tatizo una ugomvi na watu wenye agenda uipendayo.