UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

CCM na washirika wake wanachowaza kwa sasa ni namna gani ya kuendelea kukwapua rasilimali za taifa na kulinda utawala wao wa kiimla na sio kujenga taifa imara lenye kujali raia wake

Watanzania wanaona CCM inafanya nini na 2015 ndiyo mtajua CCM ilikuwa job, UKAWA endeleeni kula mlungula wa weupe
 
NCHI INALIWA NA HAOHAO MNAOWAITA VIBARAKA MMEFYATA TU KAZI KUWALAMBA MIGUUU
 

Ukawa bei yao nyanya sana mkuu..wakichukua nchi wataipiga mnada fasta...!
 
Ni wakati muafaka sasa wakamatwe haraka kwa kosa la kukusudia kuleta vita nchini
 
KIKWAZO CHA THE PROMISE LAND..
 
kama ni hivyo basi MUNGU AWABARIKI SANA WAJERUMANI KWA KULINDA RASIMU YA WARIOBA .
 
Nadhani hakuna watu walio vibaraka na maadui wakubwa wa jamii yetu kama CCM maana CCM na watu wake wamekuwa vibaraka wa wauza madawa ya kulevya na watoa rushwa. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye siyo mtumwa na kibaraka wa watoa rushwa. Na hiyo ndiyo siri kubwa ya viongozi wake kufikiria kwa kutumia matumbo yao. Anayefikiria kwa kutumia tumbo, kabla ya kufanya chochote huangalia kwanza tumbo lake litapata nini katika kila anachokiamua , kuunga mkono au kukipigia debe.

Angalia wale walipwa bk 7 kwa siku, unadhani wanapost humu kwa vile wanayaamini wanayoyasema? La hasha, ni kwa vile matumbo yao inabidi yawe na kitu kila situ na kwa bahati mbaya uvivu wao unawafanya wasiwe na njia nyingine zaidi ya kupiga majungu ili walipwe. Hawa ndiyo wapo tayari hata kusema kuwa Tanzania imeendelea kuliko nchi zote Duniani alimradi kama kwa kusema hivyo kunaweza kumpa hata tikiti la kuingiza tumboni mwake.

Acheni kutapatapa, waambieni UKAWA waache ujinga huu wa kutumiwa na mataifa ya magharibi, enzi hizo zilishapitwa na wakati
 
Upinzani njaa...wanaitumia nchi kuiba fedha za wazungu
 
mtasema mengi sana, mi - ccm mliwatega UKAWA kwa hela zenu za posho mkafikiria wange rudi bungeni kutetea katiba ya ccm sasa wamegomea mihela michafu ya ma - ccm munatunga uongo ili tuwakubali ila nasema hivi watanzania tunalaani katiba ya ccm.
 

Vyama vya aina hii viangaliwe kwa macho mawili , hivi kweli kama una nia safi ya kutawala utafanya haya :-
1. Utavuruga kupatikana kwa katiba
2. Utashawishi watu waandamane.Je wewe ukiingia madarakani utawaambia waache kuamdamana?
3. Unahamasisha nchi istawalike sasa wewe ukipata nafasi ya kutawala utawazuia hao ambao umewashawishi waache
hizo tabia.
4. Unahamasisha maandamano ukitawala wewe utazuia watu wasiandamane?

Kumbukeni CHADEMA yote mnayoyafanya sasa hata nyie yatawakuta , labda mhamie muende nchi nyingine, au kwa sababu mmejilimbikizia fedha za wafadhili wenu ili mkimbie nchi.

Mnadhani mmejificha kumbe mko peupe subirini tuone mwisho wenu , msidhani Mungu yupo kwenu waovu , hii Tanzania ni ya wote jamani.
3.
 
Hao walikuja kwa maslahi ha taifa na ndiyo maana wanaonekana wazi wazi , sasa hawa wa UKAWA wanaojifichafisha wanataka nini? Weka nw wa UKAWA basi tuwaone waziwazi wanafanya nini

AKILI KUMKICHWA...UKIDUMAA UMEACHWA FERRY..
 
maskini CCM.
ni dhahiri ccm imeamua kuweka wazi utoto na ujinga wao kwenye kutekeleza swala la msingi la katiba mpya.
hivi kitengo cha Tambwe Hiza kumbe bado kipo CCM?
 
Upinzani njaa...wanaitumia nchi kuiba fedha za wazungu
wewe ni mwajiriwa wa ccm, hivi ni katiba gani hii ambayo mumeondoa vipengele vya uwajibikaji na uadilifu halafu munasema iendelee kujadiliwa NYIE NI MASHETANI na hatuwakubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…