Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Hivi unajuwa hata harufu ya k?
mnachosha nyie wajukuu mjue.
 
Nina mashaka na hali ya mahusiano uliyonayo kwa sasa, pole lakini.. ukiweka wazi yanayokusibu kifikira hapa jamvini utasaidiwa...your too emotional and judgemental ladyAJ.
Mtu pekee atayekupa jibu la uhakika ni baba yako, muulize amewezaje kuishi na uke unaotoa harufu wa mama yako kwa miaka yote hiyo hadi ukazaliwa wewe
 
Nina mashaka na hali ya mahusiano uliyonayo kwa sasa, pole lakini.. ukiweka wazi yanayokusibu kifikira hapa jamvini utasaidiwa...your too emotional and judgemental ladyAJ.
true that
 
''Harufu ilidumu mkononi kwa wiki kadhaa''..........ndo maana ni mara chache mno nasalimiana kwa kushikana mikono..........aliyegundua 'tano' big up kwake.
 
Asante mkuu kwa mchango wako muhimu sana.
 
Kama nakuona baada ya Kumshika ukeni[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona unakuwa mkali sn?!

Nenda kamuone dr km tatizo limekuwa kubwa sana.
 
Nina mashaka na hali ya mahusiano uliyonayo kwa sasa, pole lakini.. ukiweka wazi yanayokusibu kifikira hapa jamvini utasaidiwa...your too emotional and judgemental ladyAJ.
Hali yangu ya mahusiano ni njema na yana Afya tele ,yanayonisibu ni mengi ila sio ya udhalilishaji kiasi cha kuona wanawake ndio sehemu ya matusi yenu,mwanamke asipokua mama yako basi aweza kuwa mpenzi wako,Dada yako, shangazi yako au hata rafiki yako! Sasa ikiwa kila anayekuja anakuja na neno kunuka jua humdharirishi yeye tu bali umewatusi hata hao ndugu zako!
 
na wewe ni mmoja wapo wa ile timu kunuka papuchi au?mbona povu limekutoka sana
acha linitoke ...au mnadhani wanawake wote hatupendani? Hii mada ilishazungumziwa sana,na tukatoa ushauri wa jinsi ya kusafisha uke ili uwe safi, lakini kila mkinyimwa huko na wake zenu mnakimbilia jf kuja kuwatukana, jando halifundishi dharau kwa wanawake ila linataka heshima umuheshimu kila mwanamke na kumtunzia siri yake .....sishangai ndio maana Vikoromea siku hizi vimeisha kwa wanaume mmekua na shingo nyoofu kama wanawake
 
Reactions: nao
Umetumia lugha kali sana, hayo mambo ni ya kawaida mnamalizana wenyewe huko huko bhana
 
Mama yangu nishampeleka bado ww
Mume wangu akiliona hilo kwa kua ana elimu ya jando na koromeo hatolopoka hadharani ila kwa kua wewe unashingo mithiri ya Millen Magesa ndio maana yanakutoka tu
 
Mume wangu akiliona hilo kwa kua ana elimu ya jando na koromeo hatolopoka hadharani ila kwa kua wewe unashingo mithiri ya Millen Magesa ndio maana yanakutoka tu
Nenda ukatibiwe bibie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…