umerogwa wewe
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 417
- 566
Uchafu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pili pili pia inasaidia sana kupunguza harufu kwenye Ndettokwa msaada zaidi pia mwambie asafishe kwa kutumia maji ya uvuguvugu atie chunvi kidogo na ndimu au delto aingize vidole hadi ndani ikiwezekana alale chali umsafishe mwenyewe ila atanue miguu ili uweze kusafisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Habari Great thinkers..
Nina tatizo linasumbua akili yangu. Nina mchumba wangu nampenda sana na tunampango wa kufunga pingu za maisha Mungu akipenda mwakani wa sita hivi. Tatizo lake ni uke kunuka ni muda sana kila nikitaka kumuambia roho husita, tunaishi mikoa tofauti. Tangu juzi niko nae baada ya mchezo hiyo harufu sio ya nchi hii shombo la hatari mpaka nashindwa kuendelea nikitoka hapo direct bafuni nikitoka kuoga nakuta mtu anakoroma nashindwa kumuamsha akaoge.
Jana usiku nimekaa nae katoka job tunacheki habari huku kalala kifuani, mara harufu papuchi hiyo duh mpaka nikamuonea huruma nikaenda nje kupunga upepo nikapitiliza Pub na sikumega mzigo jana kwa visingizio kibao..
Wakati anaenda job anavyojiweka safi makeup za kutosha kaumbika kila kona lakini tatizo hapo chini..[emoji17] [emoji17]
Nimejaribu kumuambia kwa mafumbo asubuhi kuwa anatatizo kwenye kipapa so akirudi kutoka job nimpeleke akamuone mtaalam alinikata jicho akaondoka bila hata kuniaga..
Kuna natural smell ya papuchi lakini sio hii duh..[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Kabla hajarudi nimeona nipite kwa Great thinkers nipate ushauri kama kuna dawa ya kutumia au kuna mwanamke alipata hili tatizo akatibika kwa njia ya asili au madawa.
Naombeni ushauri wenu..
kuumbe kucha ndefu ndio indicator ya uchafu nimestuka!Defense mechanism ya uke ndio inalazimisha uke kua nahiyo Smell ..smell mbaya zaidiiiii yaweza ikawa sababu ya imbalance ya PH uken nahisi husababishwa na magonjwa
Kinyume nahapo uwe umedate namwanamke anamakucha marefu sasa usafi kwako ni0.
mkuu vumilia tu maana hautapata isiyokuwa na harufu kila sehemu iliyowazi kwa binadamu ina harufu kuanzia mdomo, pua, maskio, makwapa nkJamani kitu ambacho sipendi huwa ni miharufu wakati wa kuduu.Nimejaribu kuchunguza nimekosa majibu.Wadau nisaidieni huwa tatizo ni nini?
Jana nilipata wa kinyeji ni hatari room mzima ilinuka.Jamani kitu ambacho sipendi huwa ni miharufu wakati wa kuduu.Nimejaribu kuchunguza nimekosa majibu.Wadau nisaidieni huwa tatizo ni nini?
Naomba namba yakeJana nilipata wa kinyeji ni hatari room mzima ilinuka.
Hivi basically kuna vagina ambayo haina harufu completely?? Mm nadhani isipotoa harufu basi hiyo sio K bali ni utumbo!Let it smell for its own good.Jamani kitu ambacho sipendi huwa ni miharufu wakati wa kuduu.Nimejaribu kuchunguza nimekosa majibu.Wadau nisaidieni huwa tatizo ni nini?
+991-345-543Naomba namba yake