Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Shahawa zikichanganya za wanaume mbalimbali lazima zichache kila mtu na chakula chake
Kwa upande flani nakuelewa uke una harufu yake ambayo ni natural na alwys huwa harufu hii inamvutia na kumstimulate mwanaume haina kero ila ukiona harufu inakuwa kero mpaka kushindwa kuihimili jua huyo ana mchanganyiko wa mishahawa mingi kiasi kwamba hata wale bacteria waliopo ukeni wanaanza kutoa sumu kujihami na uvamizi wa shahawa zenye ph tofauti tofauti.harufu naturally ya uke huwa ni nzuri na inastimulate during love making.Big up dada wanao elewa watakuelewa
 
Kwa upande flani nakuelewa uke una harufu yake ambayo ni natural na alwys huwa harufu hii inamvutia na kumstimulate mwanaume haina kero ila ukiona harufu inakuwa kero mpaka kushindwa kuihimili jua huyo ana mchanganyiko wa mishahawa mingi kiasi kwamba hata wale bacteria waliopo ukeni wanaanza kutoa sumu kujihami na uvamizi wa shahawa zenye ph tofauti tofauti.harufu naturally ya uke huwa ni nzuri na inastimulate during love making.Big up dada wanao elewa watakuelewa
Asante sana mkuu siku zote ukikutana na k inayonuka jua huyo mwanamke anatembea na wanaume zaid ya wawil au mgonjwa au anakaribia period ndo kunakuwa na harufu
 
Asante sana mkuu siku zote ukikutana na k inayonuka jua huyo mwanamke anatembea na wanaume zaid ya wawil au mgonjwa au anakaribia period ndo kunakuwa na harufu
Hv natumia mbinu gani kumwambia mtu kuwa ana smell bad? Hii kitu nimeshindwa kabisa
 
Kwa wengine ni ugonjwa , dawa moja kubwa sana inaondoa hiyo kitu, mwanamke mwenye harufu anakamua maji ya majani ya migomba ambayo yana rangi ya njano, maanake ni majani ambayo yameanguka pembeni mwa mwa mgomaba anamiminia kidogo ukeni, yanatibu kabisa harufu, Mwenye tatizo hili ajaribu atapona, ANGALUZO: sisi wanaume tuwaambie ukweli wanawake kwamba wana harufu mbaya ili wajue changamoto hii
Nshapata fursa asante mkuu maana demu za siku hizi zinatema balaaa
 
Kwa wengine ni ugonjwa , dawa moja kubwa sana inaondoa hiyo kitu, mwanamke mwenye harufu anakamua maji ya majani ya migomba ambayo yana rangi ya njano, maanake ni majani ambayo yameanguka pembeni mwa mwa mgomaba anamiminia kidogo ukeni, yanatibu kabisa harufu, Mwenye tatizo hili ajaribu atapona, ANGALUZO: sisi wanaume tuwaambie ukweli wanawake kwamba wana harufu mbaya ili wajue changamoto hii
hizi dawa zenu na njia zenu za kienyeji msije mkaua watoto wa watu.
 
+ usitumie sabuni kuoshea sehemu za siri osha kwa maji ya kawaida

+ hatuoshi uke juu juu, hapana ingiza kidole ndani ya uke huku ukitumia maji kuosha..
Fanya ivo zaidi ya mara tano

+ badili chupi kila baada ya masaa 4,hasa ukitoka maliwatoni,
( wenzako huwa tunabeba chupi kwenye bagi, mafuta, na manukato unavyoingia huko badilisha hukohuko) usibebe pochi kama urembo ,,,, badilika

+ usijipulizie pafyum ukeni au mapajani ( hii ni sababu kunuka kwa sehemu za siri)

+ fua chupi, fua chupi , fua chupi vizuri, hasa katikati, pembeni mwa paja, riboni ya kiuno na chup yote kwa ujumla , suuza kwa maji safi anika juani.
( baada ya kukauka pasi chupi)

+ epuka kuvaa nguo za ndani zikiwa mbichi, unyevuunyevu, kuanzia chupi mpaka taiti. Vaa nguo zilizokauka

+ epuka kurudiarudia chupi
Ushauri: wenzio huwa tunachupi zaidi ya 30 na huwa hazijirudii rudii
 
Back
Top Bottom