mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,703
Pole Malkia wangu wa NguvuMm wala simfatilii ila yy anakuja kwa comment zang anajaza utumbo wa nn kwan wengine hajawaona
Msamehe bure....
Life iendeleee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Malkia wangu wa NguvuMm wala simfatilii ila yy anakuja kwa comment zang anajaza utumbo wa nn kwan wengine hajawaona
And keep the vagina DRYYYY mda wote...tumia tissue paper nzuri ama usivae chupi ukishinda nyumbani ili uwe mkavu.+ usitumie sabuni kuoshea sehemu za siri osha kwa maji ya kawaida
+ hatuoshi uke juu juu, hapana ingiza kidole ndani ya uke huku ukitumia maji kuosha..
Fanya ivo zaidi ya mara tano
+ badili chupi kila baada ya masaa 4,hasa ukitoka maliwatoni,
( wenzako huwa tunabeba chupi kwenye bagi, mafuta, na manukato unavyoingia huko badilisha hukohuko) usibebe pochi kama urembo ,,,, badilika
+ usijipulizie pafyum ukeni au mapajani ( hii ni sababu kunuka kwa sehemu za siri)
+ fua chupi, fua chupi , fua chupi vizuri, hasa katikati, pembeni mwa paja, riboni ya kiuno na chup yote kwa ujumla , suuza kwa maji safi anika juani.
( baada ya kukauka pasi chupi)
+ epuka kuvaa nguo za ndani zikiwa mbichi, unyevuunyevu, kuanzia chupi mpaka taiti. Vaa nguo zilizokauka
+ epuka kurudiarudia chupi
Ushauri: wenzio huwa tunachupi zaidi ya 30 na huwa hazijirudii rudii
Halafu wawachafulie hewa nani?Mkuu uwe unaacha madirisha wazi wakati wa mgegedo
ila mwanaume mwenzangu hilo tatizo linatokana na kushiriki ngono na wanaume wengi, kuna mdau juu ameelezea ni bakteria wa aina gani, google uone nini sababu yake...kua makini na huyo mwanamkeNampenda ndio maana nataka kumsaidia
huwa yanawasha hatari unakuta mtu anatema kama mla ugoroMate mnayopaka kwenye rungu zenu yanatengeneza Bacteria kwenye pussy
karibu mjiniEti wengine huwa wanalamba kabisa watu mnamoyo
Jamani kitu ambacho sipendi huwa ni miharufu wakati wa kuduu.Nimejaribu kuchunguza nimekosa majibu.Wadau nisaidieni huwa tatizo ni nini?
Wape dawa banaaa...jamaa anataka kuoa mwakani ndani ya miezi 6 ijayoNajua kinachomsumbua na dawa but since you guys are not married, I won't bother.. Sitaki kuchangia zinaa..
Tupoooooo....Aisee halafu kuna mijitu huwa inaenda chumvini
Kama anajioshaga basi atakua anamatatizo huko ..maana ungekua hajioshi inamana chanzo cha harufu kingegundulika
Ugumu anaoupata daktari kumwambia mgonjwa kuwa unaumwa KANSA ni sawa kabisa na ugumu anaoupata mwanaume kumwambia mpenzi wake kuwa ANANUKA K AU MDOMO.Kama ulipata ujasiri Wa kumtongoza mpaka akawa wako,hivyohivyo tumia ujasuri huo kumwambia ukweli kuwa ananuka k' na umshauri kwa kinagaubaga cha kufanya,kama kumuona mtaalam Wa hayo maswala au laah.
Uwe unaosha vizuri hiyo **** yako kabla hujaduu, hiyo ndiyo suluhisho.
Shosti la msingi ni turudi katika asili yetu tu kuishi kiasili hizi kuiga iga mhSijui ni kuongezeka kwa joto duniani?? Au shughuli za utafutaji watu wanakosa muda wa kunywa maji mengi na kujiswafi?? Au kufanya mapenzi holela kunapelekea kujibebea magonjwa mbalimbali ikiwemo fangasi na aina zingine za magonjwa ya ngono?? Au ni unywaji holela wa dawa za antibiotics ambazo zinapelekea kuua vijidudu vya uke vyenye faida na kusababisha maambukizo ya mara kwa mara katika njia ya mkojo??? Sababu zipo nyingi tuu nyingi kubwa kabisa ni life style ya mtu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole siko kugandwa namna hiyo aiseeNaona unapenda kweli ligi na mm sitoi kiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii Kali ukihisi kizunguzungu tu unakatika dah nimeipenda sanaPole,siunajua humu jf kuna kizunguzungu,kila mtu ana zungusha kiuno anavyotaka [emoji188]