Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Mpeleke hospital afanye ultrasound na HVS(High Vaginal Swab) ili kutibu kiini cha infection ama zaidi ambavyo dokta atashauri...
Kikawaida Vagina ina harufu ila sio harufu mbaya
Nitajaribu kumpeleka kesho weekend
 
Et ananuka ng'onda,hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ikizidi ni mno,alafu sura maumbile hata wakati mwingine na tabia huwa njema sana njoo huku chini sasa ptuujh
 
Wengine papuchi zao awajui kuzisafisha vizuri, zinatoa harufu kama mzoga wa panya buku [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Jaman lijali haangalii harafu kichwa cha chini kikibana harufu utaisikiaje
Na anabamizwa mpaka harufu inapotea ukija kushusha ni harufu mchanganyiko ya manii yako na maji ya uke


Wanawake wakati mwingine wamekuwa wahenga wa kuambiwa wananuka


Ukitaka kujua manii yako inaharufu Kali piga pupu waxungu uwanuse hutarudia kuwasema wanawake

Na kama wazungu wako hawanuki we hanisi
 
Wadau naombeni ushauri wa kwani mpenzi wangu uke wake inatoa harufu ambayo inaniletea kero sana,na hii hali haikuwepo huko nyuma naona imeanza hivi karibuni.sasa ombi ushauri wangu umejikita ni lugha gani nzuri ambayo naweza kumfikishia ujumbe ambayo haiwezi kumkera.Nawasilisha kwenu Great thinkers
 
Hujafafanua vizuri mkuu hiyo harufu inakukera au, kwa maana k kama k inakuaga na harufu yake maalumu. Hebu tudadavulie basi....
 
Mwambie Ananuka.Kwani Lugha gani Nyengine unataka uambiwe utumie?Ila ukapime na ww Mzee.
 
Harufu iliyopo inakupa hamasa ya kuchepuka? ila hakuna harufu kali duniani kama harufu ya k
 
Anaumwa fungus kama sikosei
Ungejikita kumtafutia tiba hospitalini kuliko kuja kumuanika hum[emoji35]
 
Ni hawala au mke? Au mzinifu mwenzio?

Nikipata jibu hapo naweza kukupa lugha nzuri akuelewe.
 
Wadau naombeni ushauri wa kwani mpenzi wangu uke wake inatoa harufu ambayo inaniletea kero sana,na hii hali haikuwepo huko nyuma naona imeanza hivi karibuni.sasa ombi ushauri wangu umejikita ni lugha gani nzuri ambayo naweza kumfikishia ujumbe ambayo haiwezi kumkera.Nawasilisha kwenu Great thinkers
Easy, Jifunze kupenda harufu mbaya ya papuchi mapenzi yenu yatadumu milele. Upendo huvumilia yote vitabu vitakatifu vimetufundisha
 
Hujafafanua vizuri mkuu hiyo harufu inakukera au, kwa maana k kama k inakuaga na harufu yake maalumu. Hebu tudadavulie basi....
Kaka inanikera,huwa kuna harufu ya K,sasa hii ni issue geni sijaizoe kabisa.inakera sana
 
Back
Top Bottom