Uke unabana hata uume haupiti ila sio bikla, au kalogwa?

Uke unabana hata uume haupiti ila sio bikla, au kalogwa?

Mnatumiaje mate this is 2023
Hebu tafuta vilainishi mbona vimejaa pharmacy...halafu jitahidi kuwa romantic kidogo huenda upo very harsh hadi anakuogopa
Na uwe msiri jambo kidogo tu ushashtaki kwa mashangazi
Kuna watu mpaka karne hii wanaona aibu hata kwenda kununua condom pharmacy sembuse hayo mafuta aonekane ni mfiraji?
Nilikuaga na kademu kamoja ute wake ulikua unakauka haraka nikimpigisha mbio ndefu, tukashauriana tununue KY basi banaaa siku niliyoenda kwenye hivi viduka vyetu vya dawa vya uswahili kuulizia KY muuzaji sijui alikua mlokole yule akaanza kunihubiria zambi za ufiraji na ilivyo ni chukizo mbele ya bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inawezekana hayupo sawa kisaikolojia, hivyo nashauri kama una nafasi mpeleke hotel au sehemu nyingine kulingana na uwezo wenu kwaajili ya kum-comfort huyo Bibie.

Lakini pia yawezekana humuandai vya kutosha, nimesoma hapo mwisho unasema unapaka hadi Mate, njia hii ni kama unambaka Mkuu.

Kwa mapenzi ya sasa, jaribu kucheza vizuri na maumbile yake na ukiweza nenda Uvinza walau kwa dakika 10 ukimuandaa, njia ikishindwa kufunguka nina 30k yako hapa utanidai
Jibu hili hapa
 
Usitumie mate Mzee tafuta KY au kama uwezi kuipata basi tumieni hata mafuta ya nazi isipopita basi kweli kalogwa
 
Hiyo hali inaitwa Vaginismus. Hiyo haihitaji hata matibabu ya hospitali ila yeye anatakiwa aweze kui control mwenyewe.

Kinachotokea ni hiyo misuli ya pusy inakaza au inabana na inabana zaidi pale anapokuwa na hofu kwamba “uchi wangu ni mdogo, na leo haitapita tena , leo nitaumia nk.” Hilo tatizo linaanzia kwenye mawazo yake.
Fani unazopenda Sasa...😅
 
Ukichomeka tu, haitoki mnang'ang'aniana; itakuwa full aibu, nitakuja na kamera yangu kuwapiga picha
 
Hiyo hali inaitwa Vaginismus. Hiyo haihitaji hata matibabu ya hospitali ila yeye anatakiwa aweze kui control mwenyewe.

Kinachotokea ni hiyo misuli ya pusy inakaza au inabana na inabana zaidi pale anapokuwa na hofu kwamba “uchi wangu ni mdogo, na leo haitapita tena , leo nitaumia nk.” Hilo tatizo linaanzia kwenye mawazo yake.
Humu JF kuna baadhi ya wanawake, pamoja na mizaha yao wakati fulani, ila kwa namna wanavyo-comment wakiwa serious, unagundua kabisa kwamba vichwani wana kitu, hawajabeba boga.

Umeeleza vizuri sana mkuu. Hongera.

Nisamehe kama wewe siyo "KE"... [emoji3]
 
habari, siku nne zimepita tangu nipate jiko(mke)
siku ya kwanza tumeshiliki bila shida yoyote, siku iliyofata uke ukabana kiasi kwamba hata vidole viwili haviwezi kupita,
tukajipa moyo kesho ake tukaweka hadi mate lakn hakuna kitu
tumewashilikisha mashangazi wao pia hawaelewi nini cha kufanya

nikimuuliza mwenzang km kuna kitu kafanyiwa uko kwao anakataa

msaada wenu tafadhali
pia ningependa kujua
1-je ni uchawi?
2-je kuna dawa za kumponesha?
3-je akipona anabaki km binadam wa kawaida au anakuwa tayar kaalibiwa mfumo wake wa uzazi?
4-kwanini afanywe hivo/kuna faida gani?

nawasilisha
Bila pcha huu uzi ni batili
 
Hiyo hali inaitwa Vaginismus. Hiyo haihitaji hata matibabu ya hospitali ila yeye anatakiwa aweze kui control mwenyewe.

Kinachotokea ni hiyo misuli ya pusy inakaza au inabana na inabana zaidi pale anapokuwa na hofu kwamba “uchi wangu ni mdogo, na leo haitapita tena , leo nitaumia nk.” Hilo tatizo linaanzia kwenye mawazo yake.
Hii imekaa kitaalamu sana
 
Back
Top Bottom