#COVID19 Ukiacha Chanjo za Corona, kuna kitu gani cha maana kilichofanywa na Serikali ya awamu ya 6?

#COVID19 Ukiacha Chanjo za Corona, kuna kitu gani cha maana kilichofanywa na Serikali ya awamu ya 6?

Chanjo za awamu ya kwanza hata nusu hazijatumika, halafu wanaenda kukopa tena dozi za chanjo milioni 2 kwa gharama bilioni 300, ni kwa lengo lipi?!
 
Serikali ya awamu ya 5 ilipoingia madarakani tuliona mageuzi ya kutisha na amsha amsha ya maendeleo kila mahali, miradi iliibuliwa na kutekelezwa kwa kasi, ikawa ndio kama tumezinduka toka usingizini.

Hii serikali ya awamu ya 6 inanishangaza sana, toka imeanza hadi sasa imekuwa ni Corona na Tozo mwanzo mwisho, yaani zaidi ya hivyo viwili hakuna kingine, kama si Corona basi ni Tozo. Huku Madelu anakamua Tozo, huku Gwajima ananunua chanjo, huku wanakamua Tozo, huku wananunua chanjo, baasi, hakuna lingine.

Tunaomba serikali itupe tumaini kwamba inajali maslahi ya wananchi, hata kama ni kwa kutudanganya tu, iachane na kelele za Corona, anaetaka kuchanjwa achanjwe lakini isiwe kwa kupiga promo kubwa hasa kupitia waziri, mnapofanya shinikizo kubwa mnatupa wasiwasi wananchi na kututisha kwamba Tozo zetu zilikuwa ni kwa lengo maalum tofauti na yale mliyoainisha kwamba ni malengo ya tozo.

Mi naogopa siku kuja kusikia Chanjo zimesababisha upotevu wa trillion 5 za fedha za Tozo, ufisadi wa namna hiyo unaweza ukasababisha wengine tunaopenda nchi tukapata magonjwa ya moyo na pressure, naogopa sana. Sina ushahidi wowote, ila ni hisia mbaya niliyoanayo kiasi napata strong connection kati ya timing ya Tozo na ununuzi wa chanjo za mikopo ya bei na masharti ‘nafuu’.

=================================

Update: 08/09/2021
Naona kumbe hizi Tozo zinaweza zikatumika kuulipa huu mkopo unaoenda kuteketezwa kununua chanjo hewa kwa matrillioni, inaumiza sana. Hizo pesa tunajenga flyover ngapi? Badala yake tunaenda kununua Johnson and Johnson


===============================
Update: 27/09/2021

👆🏽 Haya sasa, hapa ndio mjue kwanini watu tulikuwa tunapigia kelele hizo juhudi za madalali wa chanjo za kutuibia pesa kwa mgongo wa Corona, matokeo yake ndio hayo sasa, sasa kaeni kimya mnyolewe, pumbavu kabisa!
Umeachwa na wakati stuka Wewe pimbi wa chato gang..

Soma hiyoo 👇

Screenshot_20210927-075956.png


Screenshot_20210926-071606.png


Screenshot_20210925-100603.png


Screenshot_20210925-100310.png


Screenshot_20210925-100228.png


Screenshot_20210923-135640.png


Screenshot_20210923-102207.png


Screenshot_20210923-102350.png


Screenshot_20210922-075612.png


Screenshot_20210921-102138.png


Screenshot_20210920-162751.png


Screenshot_20210920-152209.png


Screenshot_20210920-151722.png


Screenshot_20210920-151258.png


Screenshot_20210920-151447.png


Screenshot_20210920-080107.png


Screenshot_20210920-075003.png


Screenshot_20210920-073250.png


Screenshot_20210920-072100.png


Screenshot_20210920-071756.png


Screenshot_20210920-071441.png


Screenshot_20210920-071732.png


Screenshot_20210920-071408.png


Screenshot_20210920-071214.png


Screenshot_20210919-150018.png
 
Usipingane na "wazungu ndiyo wanaotulisha" (in Lisu voice).
Upuuzi mtupu eti wanataka wapatiwe dola si watatuuza mazima kwa mabwana zao.
Kwa mtazamo huo bora tuendelee kusema Kidumu chama Mapinduzi! Zidumu fikra za Haya JK Nyerere, Zidumu fikra za Hayati JPM...
 
Mipango, mipango, mipango, mipango, mipango, mipango, mipango ingekuwa matumizi, sijui ingekuwaje. Tozo za mwezi Septemba mmepeleka wapi?
Unaweweseka Sana Mr.Legacy,onyesha mpango hapo kwenye attachments..

Acha kuweweseka Mil.50 kila kijiji ilimshinda Magu mama katoa mil.500 kila Jimbo na kaongeza bajeti ya Tarura mara 3 Sasa mambo ni moto ujenzi wa lami kila sehemu kama hivi 👇

IMG-20210717-WA0000.jpg


IMG_20210927_172222_984.jpg


IMG_20210927_172225_649.jpg


IMG_20210927_164451_373.jpg


IMG_20210927_165108_245.jpg


IMG_20210927_165455_637.jpg


IMG_20210927_165730_853.jpg
 
Unaweweseka Sana Mr.Legacy,onyesha mpango hapo kwenye attachments..

Acha kuweweseka Mil.50 kila kijiji ilimshinda Magu mama katoa mil.500 kila Jimbo na kaongeza bajeti ya Tarura mara 3 Sasa mambo ni moto ujenzi wa lami kila sehemu kama hivi 👇

View attachment 1955653

View attachment 1955656

View attachment 1955657

View attachment 1955659

View attachment 1955660

View attachment 1955661

View attachment 1955662
Tozo za mwezi August tuliambiwa kiasi hiki kimeeenda hapa na kiasi hiki kimeenda pale, za mwezi Septemba zimeenda wapi?
 
Shida yenu mtu asimame majukwaani na kufokea fokea na kutishia watu. Mitano tena kwa mama.
 
Serikali ya awamu ya 5 ilipoingia madarakani tuliona mageuzi ya kutisha na amsha amsha ya maendeleo kila mahali,
Awamu ya 4 mbaazi ilkuwa tsh 2800/= kwa kg, Awamu ya 5 ikashusha mpaka Kg1 tshs. 200 Awamu ya 6 inaipandisha sasa 1200 per kg.

Awamu ya 6 pamba kununuliwa kwa cash bila kutumia wanajeshi.

Bei ya dengu, ufuta mbaazi choroko imepanda baada ya aliyekuwa akinunua kushawishiwa kurudi baada ya kuikimbia awamu ya 5 wakulima wote tunafuraha.

Ajira zimeanza na waliofukuzwa kazi wamerudi.

Awamu ya 5 walidai wafanyakazi hewa kibao. Hakuna mtumishi aliyekamatwa kwa kula mshahara wa wafanyakazi hewa. Ilikuwa maigizo fulani.Awamu ya 6 hakuna Ahadi za kuzuga kama za laptop kwa walimu na 50m kila kijiji. Madame Samia akiongea na vitenda vinafuata bila camera kila mahali. Mpaka sasa sijaona camera tv akienda au akitoka kuswali.

Awamu ya 5 camera mpaka kanisani kila j2.

FlyOver sio chakula bro zimejejengwa DAR tu na Chato viwanja na pundamilia kuprlekwa huko burigi.

Ulizoea bling bling ma tv na camera one man show hapa kazi tu. Ajabu kule chato tv na camera laivu za airport na bank zilikuwa adimu sana.

Hiyo SGR N.K ZZZZni ka zi za serikal8 za kawaida ndio masma umeme upo yupo aliyekenga mabwawa 3 mtera na kidatu na pangani ma kihansi bila kufukuza watu kazi au kusimamisha mishshara isipande miaka 5.

Hayo kwa uchache.
 
Usipingane na "wazungu ndiyo wanaotulisha" (in Lisu voice).
Upuuzi mtupu eti wanataka wapatiwe dola si watatuuza mazima kwa mabwana zao.
Kwa mtazamo huo bora tuendelee kusema Kidumu chama Mapinduzi! Zidumu fikra za Haya JK Nyerere, Zidumu fikra za Hayati JPM...

Interesting.

Una ushauri gani kwa serikali inapodai tuna hela zetu wenyewe za kujenga miradi mikubwa kama SGR na ununuzi wa ndege kwa cash HALAFU hapo hapo inapokea na kushukuru misaada kama ya kujengewa matundu ya choo mashuleni toka kwa wazungu?
 
Interesting.

Una ushauri gani kwa serikali inapodai tuna hela zetu wenyewe za kujenga miradi mikubwa kama SGR na ununuzi wa ndege kwa cash HALAFU hapo hapo inapokea na kushukuru misaada kama ya kujengewa matundu ya choo mashuleni toka kwa wazungu?
Ila pia tungependa kujua, Tozo za Septemba zimeenda wapi? Maana za August tumeambiwa kiasi hiki kimeenda pale na kiasi hiki kimeenda pale, Tozo za Septemba vipi?
 
Dozi tulizokopa awamu ya kwanza hazijatumika hata nusu, tunakopa tena dozi milioni 2 tunaenda kuchoma ng’ombe au?
 
 
Hata Mimi nilikuwa simsapoti Sana jiwe Ila mama simwelewi.

Maana naona mwendazake amemwachia daraja la kigongo busisi, bwawa la umeme la jk nyerere, SGR, n.k.... ndio naona tbc kila siku, yakwake siyaoni.

Awamu watapata taabu Sana.
 
Hata Mimi nilikuwa simsapoti Sana jiwe Ila mama simwelewi.

Maana naona mwendazake amemwachia daraja la kigongo busisi, bwawa la umeme la jk nyerere, SGR, n.k.... ndio naona tbc kila siku, yakwake siyaoni.

Awamu watapata taabu Sana.
Na ninachojiuliza, chanjo milioni 1 za mwanzo hazijatumika hata nusu, wameenda kukopa chanjo dozi milioni 2, ili iweje?, tena zisizotambulika hata huko Hijja? Tena huo mkopo tutaulipa kwa maumivu makali ya tozo!
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Chanjo milioni moja za JJ hata nusu hazikutumika, sasa tumeenda kukopa dozi milioni mbili toka china kwa bilioni 300 ili iweje?
 
kushindwa kuzibithi Wezi wa vifaa vya magari
 
Back
Top Bottom