Samia amerudisha biashara kati ya Kenya na Tz ambapo Tz ilikuwa imepigwa ban kuuza mazao
Uwekezaji nchini umeongezeka kwa zaidi ya asilimia 400 nadhani muda si mrefu matunda yake tuyaona kwa uchumi wetu ku bounce tena
Pia kaondoa maharamia kama akina Sabaya na Mwakabibi Serikalini na kesi kadhaa za kubambikiza kufutwa
Kero ya machinga imepungua kwa kiasi maana wlikuwa wakiuza hadi nyanya na mchicha stendi
Changamoto bado nyingi ila ni nafuu kuliko Magufuli
Serikali ya awamu ya 5 ilipoingia madarakani tuliona mageuzi ya kutisha na amsha amsha ya maendeleo kila mahali, miradi iliibuliwa na kutekelezwa kwa kasi, ikawa ndio kama tumezinduka toka usingizini.
Hii serikali ya awamu ya 6 inanishangaza sana, toka imeanza hadi sasa imekuwa ni Corona na Tozo mwanzo mwisho, yaani zaidi ya hivyo viwili hakuna kingine, kama si Corona basi ni Tozo. Huku Madelu anakamua Tozo, huku Gwajima ananunua chanjo, huku wanakamua Tozo, huku wananunua chanjo, baasi, hakuna lingine.
Tunaomba serikali itupe tumaini kwamba inajali maslahi ya wananchi, hata kama ni kwa kutudanganya tu, iachane na kelele za Corona, anaetaka kuchanjwa achanjwe lakini isiwe kwa kupiga promo kubwa hasa kupitia waziri, mnapofanya shinikizo kubwa mnatupa wasiwasi wananchi na kututisha kwamba Tozo zetu zilikuwa ni kwa lengo maalum tofauti na yale mliyoainisha kwamba ni malengo ya tozo.
Mi naogopa siku kuja kusikia Chanjo zimesababisha upotevu wa trillion 5 za fedha za Tozo, ufisadi wa namna hiyo unaweza ukasababisha wengine tunaopenda nchi tukapata magonjwa ya moyo na pressure, naogopa sana. Sina ushahidi wowote, ila ni hisia mbaya niliyoanayo kiasi napata strong connection kati ya timing ya Tozo na ununuzi wa chanjo za mikopo ya bei na masharti ‘nafuu’.
=================================
Update: 08/09/2021
Naona kumbe hizi Tozo zinaweza zikatumika kuulipa huu mkopo unaoenda kuteketezwa kununua chanjo hewa kwa matrillioni, inaumiza sana. Hizo pesa tunajenga flyover ngapi? Badala yake tunaenda kununua Johnson and Johnson
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona. Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya. Hadi...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya...
www.jamiiforums.com
[emoji1426] Haya sasa, hapa ndio mjue kwanini watu tulikuwa tunapigia kelele hizo juhudi za madalali wa chanjo za kutuibia pesa kwa mgongo wa Corona, matokeo yake ndio hayo sasa, sasa kaeni kimya mnyolewe, pumbavu kabisa!
Samia amerudisha biashara kati ya Kenya na Tz ambapo Tz ilikuwa imepigwa ban kuuza mazao
Uwekezaji nchini umeongezeka kwa zaidi ya asilimia 400 nadhani muda si mrefu matunda yake tuyaona kwa uchumi wetu ku bounce tena
Pia kaondoa maharamia kama akina Sabaya na Mwakabibi Serikalini na kesi kadhaa za kubambikiza kufutwa
Kero ya machinga imepungua kwa kiasi maana wlikuwa wakiuza hadi nyanya na mchicha stendi
Changamoto bado nyingi ila ni nafuu kuliko Magufuli
Sasa ninachojiuliza, wameenda kukopa dozi milioni 2 za chanjo ya Corona kwa bilioni 300 nasikia toka kwa waChina, za nini wakati zile za JJ hata nusu hazijatumika? Lengo ni nini? Ukizingatia hiyo pesa ingetosha kujenga Flyover Morocco na Tazara?
Serikali ilipokea mkopo wa Trillioni 1.2, sasa huo mkopo unatumika vipi? Ni pamoja na dozi milioni 2 za chanjo toka China, unajua gharama za hizo dozi milioni 2?! Au China wanatupa hizo dozi milioni 2 bure?!
Serikali ilipokea mkopo wa Trillioni 1.2, sasa huo mkopo unatumika vipi? Ni pamoja na dozi milioni 2 za chanjo toka China, unajua gharama za hizo dozi milioni 2?! Au China wanatupa hizo dozi milioni 2 bure?!
Chanjo ni free ndio kwa wewe raia ukitaka kuchoma, ila je, China wametupa dozi milioni 2 Tanzania bure? Chanjo moja bei yake si iinafahamika? Na hiyo chanjo ni ya kuchoma mara 2, kwahiyo fanya mara 2 kisha fanya mara milioni 2, au kichwa unafugia nywele tu?!
Update: 08/09/2021
Naona kumbe hizi Tozo zinaweza zikatumika kuulipa huu mkopo unaoenda kuteketezwa kununua chanjo hewa kwa matrillioni, inaumiza sana. Hizo pesa tunajenga flyover ngapi? Badala yake tunaenda kununua Johnson and Johnson
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona. Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya. Hadi...
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha. Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa. My take. Chadema meno yote...
www.jamiiforums.com
Badala ya kuhangaika kulipa mikopo ya chanjo, tungekamilisha hii miradi kwanza
Ila nimeshangaa sana, ni kwanini tumeenda kukopa Chanjo dozi milioni 2 , mkopo ambao tutaulipa kwa maumivu makali kupitia tozo, wakati chanjo milioni moja za awali hata nusu hazijatumika, huu ni utaahira wa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.