#COVID19 Ukiacha Chanjo za Corona, kuna kitu gani cha maana kilichofanywa na Serikali ya awamu ya 6?

#COVID19 Ukiacha Chanjo za Corona, kuna kitu gani cha maana kilichofanywa na Serikali ya awamu ya 6?

Bila unafiki wala husda hakika serekali ya rais samia imetengeneza barabara ambayo hatukuwahi kudhania kama itakuja kutengenezwa waulizeni watu wa kisukuru na makoka
 
Kumkamata na kumshitaki gaidi Mbowe. Haya ndio mafanikio wanayotamba nayo hadi 2025.
 
Back
Top Bottom