Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ndo maana mnaongoz kulialia humu jukwaan kwa kugongewa madem zenu due hampati muda wa kupumzika na kula vyakula laini laini..mwsho wa siku kimoja Chali.....sie wa mikoani ni show show
 
N
Juzi kati nilikesha pale buguruni chama, yaani mpaka asubuhi hauoni tofauti yoyote zaidi ya kwamba usiku wanazidi makahaba na wawinda makahaba.
Lakini pilika pilika zingine zote ziko sawa na mchana
Wewe ulikuwa muwindaji pia
 
Wale wa mikoani....
Picha zinaongea zenyewe

1730234532624.png

1730234651323.png

1730234910206.png

1730234984359.png
 
Mikoani mmepoa sana,kuna mikoa ikifika saa tatu huwezi kuona mtu nje,still wanaamka saa moja, mnakuwa mbafanya nini ndani muda wote.

Saa sita za usiku DSM kuna watu ndio wanajiandaa watoke
Saa saba usiku wauza chipsi bado wanamenya viazi.

Juzi kuna mtuhumiwa kampiga na kitako cha bastola mwenzake saa 12 asubuhi wakiwa kwenye club ya usiku.

Mnalala sana mikoani
Hata mashoga wengi, wasagaji na machawa wanapatikana dar, kule wapo comfortable na wanafanya kila namna kuonyesha na kuhalalisha ujinga wao huku wakiupa promo ili waonekane wapo sawa tu, in short dar ni mji wa sodoma

Mikoani usiku tunapumzika na familia zetu
 
Aisee ila jamii forum kuna matapeli wengi sana..mtu.wa.simiyu.akiona hayo mapicha anaweza kuuza ng'ombe zake aje huko kumbe ni wizi.mtu hakuna la maana watu.wanaishi.maisha ya taabu kama watumwa
Sema nini, hela
Kama huna inakuwa sizitaki mbichi hizi
Maduka karibu nusu ya Kariakoo yanaendeshwa na wajanja waliokimbia maporini....
 
Kufupisha mikoani mzunguko wa pesa mdogo sana ukilinganisha na Dar.
Yeah mkuu japo pia population density ya Dar inachangia huo mzunguko kuwa mkubwa kwa sababu dhidi watu wanavyoongezeka ndivyo mahitaji ya bidhaa yanaongezeka kiasi cha kuongeza mzunguko wa pesa. Kwa hiyo sio laamba kuna uspesho wa watu wa dar ila tu population inapelekea hiyo hali
 
Juzi kati nilikesha pale buguruni chama, yaani mpaka asubuhi hauoni tofauti yoyote zaidi ya kwamba usiku wanazidi makahaba na wawinda makahaba.
Lakini pilika pilika zingine zote ziko sawa na mchana
Sio kweli ikishafika 8 kwenda 9 watu wanapungua kwa 50% hata movement zinapingua kwa karibu 60%
Kusema ziko sawa na mchana huo ni uwongo kwa halakati zangu kea wiki kazima nipite zaidi ya mara mbili usiku mnene
Jambo kubwa ni kuwa hapo saa 24 siku 7 za wiki hukosi daladala la kukufikisha au kukusaidia kukufikisha sehemu yoyote ya jiji la dar
Yaan hapo buguruni chama sheri ni kama lango KUU La DSM
 
Back
Top Bottom