Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Bata inategemea unapendelea nini! Kama mpenzi wa fukwe basi bata ni Dar es salaam. Viwanja vya ufukweni kibwena na vikali sema tu utapasuka sana manoti ila starehe ipo.

Ila kwa enjoyment ya ulevi tu kwenye Open Bars na Clubbing Moshi ni patamu na exciting stuff ni kwamba watu wake wana vibe sana na gharama ziko chini sana. Starehe ya laki 1 Moshi ni sawa na starehe ya laki 3 Dar so Pesa kidogo unainjoy kinyama kitu ambacho kwa Dar ni kigumu. Pia viwanja viko jirani jirani so hutumii gharama kubwa ku move unaweza enda multiple places in a single nigh halafu hali ya hewa iko so chilly.
 
Kwakweli mdogo wangu hapo ms kwa swala la bata hakuna kitu msee wangu.

Bata la Arusha ni jingine mkuu. Mwanza pia.

Moshi labda size yake ni Mbeya kule ambako hawajui hata kuchoma nyama.

Nyama choma mbeya inapakwa mafuta kwanza, au inakaangwa ndio unaambiwa nyama choma halafu ngumu kama bati, kwa mapishi mbeya wanajiweza sana
 
HAMNA KAMA DAR, hata hiyo Moshi. Wewe endelea na bata pa Sar. DAR KUNA BATA, KUNA STAREHE, DAR HATARI BWANA.
1.ILALA
2.KINONDONI
3.TEMEKE
4.ILALA
5. KINONDONI
6.TEMEKE
7.ILALA
8.KINONDONI
9.TEMEKE
10.ILALA

Yan kwakifupi top ten ni Mikoa ya kipolice ya daslama alafu namba 11. Ni Mwanza hiyo mosh hamna kitu, kuna machaliii na manjeree wengi wezi wezi tu... DASLAMA MWISHO WA MATATIZO.... Tatizo majamaa yakija daslama yanafikia vingunguti kule spenko shimo la mavi alafu wanashinda kimboka by night, alafu wakirud mikoan wanasema tulikuwa daslama kweli hii si sawaaa...
 
Shengena one hapa dom langu miaka karibia 10+ iliopita
Kibo 5 na Meru 16, Shengena nilikaa nikiwa form 1 mwaka 1995 na mwaka 1998 nilihamia Kibo 5 jirani na kantini za wale wake wa walimu waliokuwa wakiuza misosi wewe hukuwepo bythen ilikuwa raha sana ukiona sehemu au kama ulipata kusikia mtu anaitwa contour ndo Mimi baba lao field Marshal
 
Back
Top Bottom