Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Ngoja mwezi wa kwaresma uishe leo ninefungulia saa 11 na nusuKesho unitag kabisa Mkuu,ikiwezekana na hizo picha tuma DM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja mwezi wa kwaresma uishe leo ninefungulia saa 11 na nusuKesho unitag kabisa Mkuu,ikiwezekana na hizo picha tuma DM
Sawa Mkuu😂Ngoja mwezi wa kwaresma uishe leo ninefungulia saa 11 na nusu
Dodoma bambalaga, bistro, liquid
Gran melia mzee baba ukienda na 3.75m mbona inatosha kabisaArusha kuna sehemu za bata za kutosha ila ngoja waje
Shengena one hapa dom langu miaka karibia 10+ iliopitaEnzi zetu Pub arberto tulikula bata balaa tukitoroka Old Moshi High School
Wazee wa Kili marathon mnatupa mrejesho
kukupa yote nini?Dar hata shetani mwenyewe anasubiri dadadadeki sema mademu wa Arusha kama anakupa anakupa yote hasa umpate mmeru
Kwakweli mdogo wangu hapo ms kwa swala la bata hakuna kitu msee wangu.
Bata la Arusha ni jingine mkuu. Mwanza pia.
Moshi labda size yake ni Mbeya kule ambako hawajui hata kuchoma nyama.
1.ILALAHAMNA KAMA DAR, hata hiyo Moshi. Wewe endelea na bata pa Sar. DAR KUNA BATA, KUNA STAREHE, DAR HATARI BWANA.
Kibo 5 na Meru 16, Shengena nilikaa nikiwa form 1 mwaka 1995 na mwaka 1998 nilihamia Kibo 5 jirani na kantini za wale wake wa walimu waliokuwa wakiuza misosi wewe hukuwepo bythen ilikuwa raha sana ukiona sehemu au kama ulipata kusikia mtu anaitwa contour ndo Mimi baba lao field MarshalShengena one hapa dom langu miaka karibia 10+ iliopita
Soma vizuri mada, mleta mada aliitenga Dar kwa kuwa haifikiwi, sasa wewe unairudisha!HAMNA KAMA DAR, hata hiyo Moshi. Wewe endelea na bata pa Sar. DAR KUNA BATA, KUNA STAREHE, DAR HATARI BWANA.
Acha kuisifia dodoma, pakawaida sana.Ongeza ..........
1. Rain Bow
2. Pestana
3. Shoki shoki
4. The Capital
Wapi nimeisifia...😳Acha kuisifia dodoma, pakawaida sana.