Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam

Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.

Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.

Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Moshi kuna chimbo gani,hugoz parking vumbi tupu,amuz napo utafikiria garage vumbi tupu,kipindi ya mvua tope...moshi kuna bar za kuhudumia wanavyuo over
 
😂😂
Yaani,ukiona tu bar za Dar mtu anajitia kukujua Sana stuka,,kanusa ankara huyo
Ujanja ujanja mwingi ukienda na dem baa ukiwa Dar customer care utaondoka mwenyewe, yan waudumu wana wivu balaa
 
Fika Morogoro
Hapo Ndiyo Jiwe Alisema Kulala Katikati Kuna Raha Yake
Unapata Ya Dar Es Salaam Na Dodoma Katikati Ni Pazuri Ndugu Zangu Waluguru
 
Bata la sehemu yoyote uwe na noti. Ndo utaonyeshwa machimbo. Arusha man ukiwa na noti kama upo New York marekani. Mnajichanganya na maraia wa kila mahali duniani
 
Kadri unavyotembea ndivyo unazidi kugundua kuwa "zamani ulikuwa mjinga"

Hapa unaisfia Dar kiasi cha kusema 'shetani mwenyewe anasuburi" ila nikikupeleka Nairobi Kenya, hiyo Dar unaiona ya kawaida tu na pengine utajiona mshamba.

Vivyo hivyo ukiilinganisha Nairobi na sehemu nyingine zilizoendelea itaonekana ya kishamba pia.

NB: UZURI WA SEHEMU, HUTOKANA NA EXPOSURE YA MLENGWA.
Jamani imeongea ukweli Nairobi kuna starehe sana usipokuwa makini unaweza ukarudi hauna hata senti. Kuna club kuingia lazima uwe 27 yrs and above niliyoyakuta huko. Aisee nashukuru Mungu nilienda dakika za mwisho kabla sijarudi Tanzania.
 
Jamani imeongea ukweli Nairobi kuna starehe sana usipokuwa makini unaweza ukarudi hauna hata senti. Kuna club kuingia lazima uwe 27 yrs and above niliyoyakuta huko. Aisee nashukuru Mungu nilienda dakika za mwisho kabla sijarudi Tanzania.
Ulikuta nini mkuu
 
Back
Top Bottom