Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar makanjanja wengi Sana!uongo mwingiiiiiiiiiSijawahi kufika Dar , ila Dar iacheni bana, Moshi nimekaa hapo kuna bata sawa ila sio kama ninaloona kwenye status za watu wa Dar
Kibaya hujitembezaMbona hazitrend kama zamani tulivyokuwa tunasikia sijui masai club n.k?
Yaani,ukiona tu bar za Dar mtu anajitia kukujua Sana stuka,,kanusa ankara huyoNdio maana hakuna baa unaweza enda Dar ukaagiza kichwaj bila kuombwa hela
Moshi kuna chimbo gani,hugoz parking vumbi tupu,amuz napo utafikiria garage vumbi tupu,kipindi ya mvua tope...moshi kuna bar za kuhudumia wanavyuo overKwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Umefunga mjadala wao....moshi niko huko kila wiki ila viwanja vyote sio kumejaa vumbi tu,redstone pekee ndio kwa kisasa na vumbi hakunaWeka Dar na Arusha pembeni halafu wengine endeleeni na mjadala ...
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ukienda bar wamejaa wanywa bia,cku zote bar pombe kali na wine ndio zinafaidaMwanza idadi ya watu kubwa sana ila ndio makao makuu ya washamba
Mbona pakishamba sana Moro hamna kitu pale kuna viwanja vya walozi na freemason hakuna fair gameFika Morogoro
KipongTaja machimbo ya Arusha
Jamani imeongea ukweli Nairobi kuna starehe sana usipokuwa makini unaweza ukarudi hauna hata senti. Kuna club kuingia lazima uwe 27 yrs and above niliyoyakuta huko. Aisee nashukuru Mungu nilienda dakika za mwisho kabla sijarudi Tanzania.Kadri unavyotembea ndivyo unazidi kugundua kuwa "zamani ulikuwa mjinga"
Hapa unaisfia Dar kiasi cha kusema 'shetani mwenyewe anasuburi" ila nikikupeleka Nairobi Kenya, hiyo Dar unaiona ya kawaida tu na pengine utajiona mshamba.
Vivyo hivyo ukiilinganisha Nairobi na sehemu nyingine zilizoendelea itaonekana ya kishamba pia.
NB: UZURI WA SEHEMU, HUTOKANA NA EXPOSURE YA MLENGWA.
Ulikuta nini mkuuJamani imeongea ukweli Nairobi kuna starehe sana usipokuwa makini unaweza ukarudi hauna hata senti. Kuna club kuingia lazima uwe 27 yrs and above niliyoyakuta huko. Aisee nashukuru Mungu nilienda dakika za mwisho kabla sijarudi Tanzania.
Tupe location mpya mwanzaUlikuta nini mkuu
Ilikuwa inaitwa inaitwa Liddos Night club, watu wanapeana live live.Ulikuta nini mkuu