Ukiacha Uzoba wa kutojua lugha ya Kiingereza Watanzania pia ni wa mwisho kwenye uwezo wa akili za maisha na darasani hapa Afrika Mashariki

Ukiacha Uzoba wa kutojua lugha ya Kiingereza Watanzania pia ni wa mwisho kwenye uwezo wa akili za maisha na darasani hapa Afrika Mashariki

Ene o idie nkibiribirat Wadiz kama hujaelewa napaswa kukuita zoba?
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Ila wanaoongoza Kwa
Kuamini miujiza

Kuamini unajimu wa Nyota

Waganga na uchawi

Majungu na fitna

Lawama na ushabiki maandazi
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Hapa afrika mashariki umeishi nchi zipi na kwa muda gani? Ni raia wa nchi ipi Wana unafuu wa maisha yao binafsi?
 
Nyerere alikosea kumwachia nchi mwinyi

Hapa ndio shida zote zilipoanzia

Ufisadi
Rushwa
Upendeleo
Nk


Nyerere angemwachia nchi mzalendo

Wakati nyerere anaondoka madarakani 84 na 85

Haki ndio ilikuwa msamiati mzuri kila ofisi ya umma
Ukweli mchungu pamoja na kwamba Kuna "wajima" wanamuona huyo Nyerere kama malaika yeye ndio Chanzo Cha Matatizo(CCM) yote haya. Kazi yake ilikuwa moja tu kuleta uhuru basi. Suala la urais baada ya kumuondoa mkoloni na kuleta maendeleo alitakiwa kumuachia Oscar Kambona.
 
Acha kufuatilia siasa dogo....zitakufanya uwe frastruated na usilazimishe matokeo au vitu unavyohisi kuwa ni sahihi. Kila mtu ana mtazamo wake na maamuzi yake. Pambana tafuta pesa na kujenga maisha yako binafsi usitegemee siasa zitakutoa katika dimbwi la umaskini.


Otherwise unaweza kuijdharau
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
memkwa huwa wanakofidensi sana, inahitaji utulivu na umakini sana kuwaelewa 🐒
 
Tunajifanya kukumbatia kiswahili na kukiacha kiingereza eti ndio uzalendo Kwa mtazamo wa ccm

Lakini Cha kushangaza wakenya ndio wameja Marekani,Ulaya na Asia wakifundisha lugha ya kiswahili katika vyuo mbalimbali
Mambo ya ajabu sana
 
Mwenye mada akisema tuna reverse progress anakuzungumzia ww na halaiki ya wenye fikra kama zako , alichosema kwani ni uongo??? Au kila kibaya tunapitia ni wakenya ndio issue ?? Viongozi we2 mnawapa escape route kwa kila jambo , hakuna accountability . Sikuombei mabaya
Kagonjeke au pata ajali moreso kapate kesi na bwanyenye yyte uone regression iliyopo nchini , uchumi upo kwa mapipa, vijana wapo tu mtaani hawana namna, ke vijana kujiuza ndio biashara rahisi kwao .
Swali langu kama mzee ni kwa nni vijana hamuwaweki wanasiasa kwenye corner ??
Kila tatizo mnasema mara marekani, mara Rwanda sijui Kenya Ohh wayahudi ...
Miaka kumi ijayo tunaelekea pabaya sana tena sana kama nchi
Well said. Hata jinsi tunavyomshambulia mtoa mada ni kigezo tosha kuhusu level ya elimu, level ya uelewa wetu. Hakuna kibaya alichosema. Watanzania mtu akitoa hoja nzito tuna mtindo wa kuacha hoja yenyewe na kushambulia either personality ya mtoa mada au kupekenyua sehemu ndogo ya andiko ili kukosoa huku tukiiacha mada yenyewe. Nafikiri mwandishi ametumia Kiingereza chetu duni akilinganisha na Kenya ili kuchombeza na kusisimua mada. Ila THEME kuu ilikuwa ni mifano ya utoporo inayohakisi ujinga na uvivu wetu. Huo ndio ukweli.
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Tulikuwa tunatia aibu katika shindano la maswali vyuo vikuuvya Afrika Mashariki lilikuwa linafadhiliwa na kampuni ya TOYOTA, kila mara tilikuwa wamwisho.
 
Acha inyeshe ila kwa wenye exposure aibu tunayokutana nayo ni kubwa sana ukweli usemwe tena bila aibu
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Ni kweli nadhani kielimu wanaanza Kenya,then Uganda,then tunakuja sisi utopolo,I doubt Rwanda watakua wametupita.

Aisee,we have alot of work to do for ourselves
 
Uko sahihi kabisa. Mimi nadhani tatizo ni elimu. Kukumbatia kiswahili kumetufanya tujitenge kama kisiwa. Watu hawana uwezo wa kusoma na kujifunza sehemu nyingine duniani wanaishije. Raia wanalishwa upupu uliochujwa kutoka kiingereza kwenda kiswahili kwa kadiri viongozi wanavyotaka.
Mbona Zimbabwe, Malawi, Zambia, Haiti ni masikini wa kutupwa?
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Ukiona watu/mtu anaacha mada iliyomezani na kushambulia personality, kabila, rangi, nchi etc ujue huyo au hao watu hawana majibu ya hoja, au ni mazuzu. Hoja ya jamaa ni hoja nyeti sana na ameweza kutoa mifano michache tu. Bottom line elimu yetu dhaifu na social life yetu ya kiswahili na uswahili vimetuathili sana, hatuko serious kwenye almost mambo yote ya msingi, Wewe fikilia nchi imefikia mahali ili upande cheo lazima uwe chawa na kila mtu anajitahidi kuwa chawa, ujinga mtupu. Vijana wameacha kufanya mambo ya maendeleo,tumeishia kuwa mashabiki wa mipira, watu wa kubeti, watu wa kupenda starehe kuliko kazi. Yaani ni aibu sana kama nchi.

Nakubali kujua kiingereza sio kipimo cha akili, ila tutabishana mpaka kesho lazima tuandae kizazi chetu kiweze kukabiliana na utandawazi wa kidunia. Sisi ni wabishi ila ukweli unabakia palepale. Mawasiliano na report nyingi za kiserikali zinaandikwa kizungu, mahakama, report za kibenki, masomo yote sekondari mpaka university. Just imagine unajifunza masomo magumu kwa kutumia lugha husiyoielewa unategemea nini,halafu mjinga mmoja anapinga. Kama tuko smart basi tubadilishe hata lugha ya kufundishia.Hatuwezi kwa sababu ni wavivu na upeo wetu ni mdogo kweli.

Wewe ukitaka kujua utoporo wa wabongo, anzisha mada ngumu zinazohitaji critical thinking na wide analysis, hapo ndipo utawajua wabongo tulivyo mbumbumbu. Angalia jinsi walivyomshambulia mtoa mada aliyejitolea kuusema ukweli. Ifike mahali tubadilike. Hatuwezi kujilinganisha na wakenya kabisa, sisi ni mbumbumbu
 
Back
Top Bottom