Ukiachana na dunia kulizunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake nadhani kuna mzunguko mwingine ambao wanasayansi hawajaugundua

Ukiachana na dunia kulizunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake nadhani kuna mzunguko mwingine ambao wanasayansi hawajaugundua

Je sayari zingine linazizungukia vipi ili kila moja iendane na muda ulMuda
MUda upo hata kama hakuna jua,weka vizuri swali mkuu
Yaani kama linakamilisha mzunguko wake kwa masaa 24 basi sayari zote sitakuwa na siku yenye urefu wa masaa 24 ya hapa duniani
Masaa 24 ni vipimo tu,jua haliathiriwi na masaa.

Yaani leo saa ikigoma jua litaendelea kupiga kazi halitasomama.

Hali kadhalika jua kama hatulioni dakika zitaendelea kwenda tu kuonesha kwamba hakuna mafungamano ya jua na saa.
Mpona mizunguko inatofautiana muda kwa kila sayari?
Hayo mambo ya sayari zongine KUHUSU MUDA bado ni theory tu hazijathibitishwa ukweli wake mpaka ifikie hatua ya kujengea haoja hapa
 
Anza kufatilia mkuu kama kweli una nia ni kazi sana kusema nianze huo mchakato hapa maana swala sio kujibu tu dunia inazunguka but how..? Sasa hiyo how ndo inahitaji maarifa zaidi! Na yapo sio kwamba hayapo just it's your passion kama kweli unahiyo passion you can find what you want.
Sawa mkuu lakini acha tuendelee kuhoji mitazamo yetu kwa wengine.
 
Labda nikuambie kitu mkuu kwamba hizi elimu hazikuanza darasani,watu walikaa wakaumiza kichwa kisha ndio wakaingiza darasani.

Sidhani kama inashindikana wewe kutuelimisha hapa ukizingatia kwamba hatupo kubishana hivyo sio tatizo somo likachukua muda mrefu maadamu tunaelewa.

Leo ukimuambia mtu kuna gravitational force inayosababisha jiwe lirudi chini hii haihitaji aende shule ndo aelewe japokuwa hayo GRAV .FORCE watu wanayasoma kwa mapana huko shule.

Ila ninachosikia ni kwamba haya mambo ni magumu wengi walioyasoma wanakuwa hawawezi kuyaelezea kwa wengine,yaani pengine wao wenyewe hawakuyaelewa.

Unayojiuliza kuhusu ulimwengu na mimi najiuliza hivyo hivyo mkuu,nadhani kuna haja ya kutafakari zaidi.

Na mimi nilikaa nikajiuliza siku moja juu ya giza,nilijiuliza sana kwamba pengine nature ya ulimwengu ni giza,maana kikiondolewa kitu ndio tunapata giza.

Ukiondoa taa unapata giza,ukiondoa jua tunapata giza.

Sikuishia hapo nikazidi kujiuliza je kama giza ndio nature ndio nini sasa ? ,najifunza nini kutokana na jambo hili ? Sasa ndio nafanyia kazi hapa mkuu
Mkuu swala sio kuelezea hapa swala ni kuanza kuelezea vitu ambavyo unaweza kuvipata na vimeelezewa vizuri zaidi kwa wahusika bila kuwa vimemenywamenywa! Nachoweza kutoa ni muongozo wa upite wapi na wapi uangalie kipi na kipi.. si kwamba mtu haelewi ila akijifikiria yeye mwenyewe hadi kukielewa ilikuwa tabu kidogo! ..😅
Swala ni passion mkuu mi nachotaka uelewe Kwanza hizo concept then ndo nijue tunaanzia wapi!
Mfano hapo umeandika gravitational force!! Hivi unahabari gravity haifai kuitwa force!! ... But how..?? Ndo maana nikakuambia msome Albert Einstein utajua mengi zaidi.. mkuu mi sikupi samaki tu bali nakupa ndoano ukalowe samaki kabisa..😅
 
Mkuu swala sio kuelezea hapa swala ni kuanza kuelezea vitu ambavyo unaweza kuvipata na vimeelezewa vizuri zaidi kwa wahusika bila kuwa vimemenywamenywa! Nachoweza kutoa ni muongozo wa upite wapi na wapi uangalie kipi na kipi.. si kwamba mtu haelewi ila akijifikiria yeye mwenyewe hadi kukielewa ilikuwa tabu kidogo! ..😅
Swala ni passion mkuu mi nachotaka uelewe Kwanza hizo concept then ndo nijue tunaanzia wapi!
Mfano hapo umeandika gravitational force!! Hivi unahabari gravity haifai kuitwa force!! ... But how..?? Ndo maana nikakuambia msome Albert Einstein utajua mengi zaidi.. mkuu mi sikupi samaki tu bali nakupa ndoano ukalowe samaki kabisa..😅
Sawa mkuu.

Nipe njia nipite wapi na niaze kusoma kitu gani ili iwe rahisi kwangu kuelewa haya mambo.
 
MUda upo hata kama hakuna jua,weka vizuri swali mkuu

Masaa 24 ni vipimo tu,jua haliathiriwi na masaa.

Yaani leo saa ikigoma jua litaendelea kupiga kazi halitasomama.

Hali kadhalika jua kama hatulioni dakika zitaendelea kwenda tu kuonesha kwamba hakuna mafungamano ya jua na saa.

Hayo mambo ya sayari zongine KUHUSU MUDA bado ni theory tu hazijathibitishwa ukweli wake mpaka ifikie hatua ya kujengea haoja hapa
Hoja ya sayari zingine kuwepo unaikubali ila hoja ya kuwa kila sayari kuwa na muda wake katika kuzamisha jua hiyo unasema ni nadharia! Sasa ili jua lizunguke dunia basj sayali zote ziko katikati ya obit ya jua? Je unaamini katika hilo
 
Mataga utasikia ooh mabeberu ndo wameleta baridi hii. Dame shit wakwende huko na umbulula wao
 
Sawa mkuu.

Nipe njia nipite wapi na niaze kusoma kitu gani ili iwe rahisi kwangu kuelewa haya mambo.
Okay kama utakuwa na muda wakutosha fatilia kwanza general relativity kama ilivyoelezewa na Albert Einstein kiujumla fatilia theory za huyu jamaa kama unamuda wa kutosha lakini. Ila kama utataka kuwa specific fatilia space how is it!,what is time kwa mujibu wa Albert Einstein, gravity.. mengine utayakuta huko then ukielewa hayo machache utapata mwanga wa kujibu maswali yako.. mcheki YouTube Brian Greene ndo anaelezea vizuri haya manadharia au Jim Al Khalil. Mkuu jiandae muda wako mengine tutakuwa tunaelekezana tu.
 
Kujibu swali lako sithani kama kuna mzunguko ambao haujulikani.

Mbali na mizunguko uliyosema jua nalo linazunguka katika mhimil wake na pia linazunguka centre ya milkway galaxy.


Kuhusu baridi kali ni kweli inachangiwa na mzunguko wa dunia kwa jua na orbirt yetu sio duara bali ni elliptical hivyo kuna mda dunia ipo karibu sana na jua na kuna mda ipo mbali na jua (aphelion) hii ni baridi ya kawaida maana computer za nasa zimekadiria miaka elfu hamsini ijao elliptical orbit italeta ICEAGE
 
Dar saiv kuna baridi tuache masihara kwa wanaokaa kuanzia mbezi kurudi kibahaa hawatopInga hili
 
Halafu kuna huu mzunguko wa kutafuta Passpoti huko Uhamiaji huo ndio mzunguko mkuu.
 
Dar es salaam haijawahi kuwa na majira ya baridi kwa muda mrefu hivi. Biharamulo nimeona clip kuna hadi barafu inadondoka kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Ulaya wanateseka na joto.

Nadhani haya hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna universal system ambayo wanasayansi hawajaigundua kama walivyoigundua solar system inayoleta majira ya mwaka au dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kunakosababisha kuwepo kwa usiku na mchana.

Nadhani miaka michache ijayo africa tutaanza kushuhudia majira ya baridi kama ilivyo ulaya na Marekani na huenda huko Marekani na Ulaya wakawa na majira kama tuliyo nayo huku Afrika.

Nadhani huu mfumo ambao ushaanza kuleta baridi hii Afrika upo kwenye stages za mwanzo kabisa, nikimaanisha kwamba stages za mwanzo kwenye huu mzunguko huenda ikawa miongo 2 au 3 depending how long the system is. Maybe this is just the tip of the iceberg.

If the system let's say takes 22 centuries to complete that means the world has never experienced such a system hence there is no such a discovery as it has been for a Solar system.

Kwa hiyo hii baridi ya muda mrefu tunayoiona Dar na barafu kudondoka huko Biharamulo ndio mwanzo wa majira ya huu mfumo ambao dunia haijawahi kuushuhudia. Tutegemee miaka ijayo Africa itakuwa na majira kama ya Ulaya na Ulaya itakuwa na majira kama ya Africa.
Mkuu,

Haya mazungumzo mazuri na muhimu sana. Ni muhimu kwenda na data, but you are definitely on to something here.

Definitely kuna mizunguko mingi zaidi ya uliyotaja ambayo wanasayansi wameigundua na imeandikwa, kwa hivyo tujielimishe kwanza kuhusu hiyo iliyogunduliwa na iliyoandikwa kabla ya kuongelea sana ambayo haijagunduliwa, ambayo nayo inawezekana ipo.

Kuna mizunguko kama ya solar system kuzunguka kitovu cha galaxy hujaitaja, ingawa sifikirii kwamba hii inaweza kuwa na impact kwenye hali ya hewa.

Sijaona ukitaja mambo kama ice ages. Kama hujazisoma hizi, anza kusoma zaidi hapa Ice age - Wikipedia

Kuna mambo mengine hata si mizunguko per se, ila mambo kama sunspots, yani, maeneo ya jua ambayo yanakuwa na joto la chini na kusababisha imbalance katika nishati ya jua tunayoipokea, na hivyo kuweza kusababisha baridi sehemu ambazo hatujazoea.

Kama hujasoma zaidi kuhusu sunspots ona hapa .

Kwa hivyo kuna mambo mengi ya kujifunza.

Ila, kuna mjadala mkubwa kuhusu climate change na jinsi gani inasababishwa na shughuli za watu kama vile kukata miti, kuongeza hewa za Carbon kwenye hewa yetu, na mambo mengine mengi kama hayo. Kuna watu wanasema mabadiliko haya ya hali ya hewa kwa kiasi kikubwa yanatokana na shughuli za watu, na watu wanaweza kubadili muelekeo huu kwa kubadili maisha yao, kuacha kukata miti na kupanda miti zaidi, kuacha kutumia vibaya nishati na kupunguza utoaji wa Carbon kuipeleka kwenye hewa yetu. Na kuna wanaosema kuwa mabadiliko haya yanatokana na mabadiliko ya asili zaidi kama hizo ice ages na sunspots, mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu kuyabadilisha.

Kwa sasa, ushahidi mwingi wa kisayansi, pamoja na wanasayansi wengi wasomi, wanakubali kwamba mabadiliko ya hali ya hewa yanasababishwa na maisha ya watu, si mambo ya kiasili, na tuna muda mchache sana wa kuzuia na kusahihisha mabaya haya yanatotokana na matumizi mabaya ya nishati. Wanasayansi wasomi wa mambo haya wanaokubali hivi ni wengi kuliko wanaokubali kwamba haya ni matokeo ya mizunguko na mambo ya kiasili tu.

Labda kwa sasa niseme hivi kama sehemu ya kuanzia tu, halafu, tuweze kupata chachu zaidi ya kuendeleza mjadala kuanzia hapa.

Shukurani The Monk kwa heshima kubwa ya mualiko hapa.
 
Mkuu,

Haya mazungumzo mazuri na muhimu sana. Ni muhimu kwenda na data, but you are definitely on to something here.

Definitely kuna mizunguko mingi zaidi ya uliyotaja ambayo wanasayansi wameigundua na imeandikwa, kwa hivyo tujielimishe kwanza kuhusu hiyo iliyogunduliwa na iliyoandikwa kabla ya kuongelea sana ambayo haijagunduliwa, ambayo nayo inawezekana ipo.

Kuna mizunguko kama ya solar system kuzunguka kitovu cha galaxy hujaitaja, ingawa sifikirii kwamba hii inaweza kuwa na impact kwenye hali ya hewa.

Sijaona ukitaja mambo kama ice ages. Kama hujazisoma hizi, anza kusoma zaidi hapa Ice age - Wikipedia

Kuna mambo mengine hata si mizunguko per se, ila mambo kama sunspots, yani, maeneo ya jua ambayo yanakuwa na joto la chini na kusababisha imbalance katika nishati ya jua tunayoipokea, na hivyo kuweza kusababisha baridi sehemu ambazo hatujazoea.

Kama hujasoma zaidi kuhusu sunspots ona hapa .

Kwa hivyo kuna mambo mengi ya kujifunza.

Ila, kuna mjadala mkubwa kuhusu climate change na jinsi gani inasababishwa na shughuli za watu kama vile kukata miti, kuongeza hewa za Carbon kwenye hewa yetu, na mambo mengine mengi kama hayo. Kuna watu wanasema mabadiliko haya ya hali ya hewa kwa kiasi kikubwa yanatokana na shughuli za watu, na watu wanaweza kubadili muelekeo huu kwa kubadili maisha yao, kuacha kukata miti na kupanda miti zaidi, kuacha kutumia vibaya nishati na kupunguza utoaji wa Carbon kuipeleka kwenye hewa yetu. Na kuna wanaosema kuwa mabadiliko haya yanatokana na mabadiliko ya asili zaidi kama hizo ice ages na sunspots, mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu kuyabadilisha.

Kwa sasa, ushahidi mwingi wa kisayansi, pamoja na wanasayansi wengi wasomi, wanakubali kwamba mabadiliko ya hali ya hewa yanasababishwa na maisha ya watu, si mambo ya kiasili, na tuna muda mchache sana wa kuzuia na kusahihisha mabaya haya yanatotokana na matumizi mabaya ya nishati. Wanasayansi wasomi wa mambo haya wanaokubali hivi ni wengi kuliko wanaokubali kwamba haya ni matokeo ya mizunguko na mambo ya kiasili tu.

Labda kwa sasa niseme hivi kama sehemu ya kuanzia tu, halafu, tuweze kupata chachu zaidi ya kuendeleza mjadala kuanzia hapa.

Shukurani The Monk kwa heshima kubwa ya mualiko hapa.
Mkuu Kiranga sisi wengine hizo elimu za nyota na mambo hayo tunayajua kidogo sana. Tunapoona mabadiriko kama haya tunahisi kuna mambo ya kimfumo zaidi ya hii mifumo tuliyoisoma shule za misingi na secondari. Mambo ya ice
Mkuu,

Haya mazungumzo mazuri na muhimu sana. Ni muhimu kwenda na data, but you are definitely on to something here.

Definitely kuna mizunguko mingi zaidi ya uliyotaja ambayo wanasayansi wameigundua na imeandikwa, kwa hivyo tujielimishe kwanza kuhusu hiyo iliyogunduliwa na iliyoandikwa kabla ya kuongelea sana ambayo haijagunduliwa, ambayo nayo inawezekana ipo.

Kuna mizunguko kama ya solar system kuzunguka kitovu cha galaxy hujaitaja, ingawa sifikirii kwamba hii inaweza kuwa na impact kwenye hali ya hewa.

Sijaona ukitaja mambo kama ice ages. Kama hujazisoma hizi, anza kusoma zaidi hapa Ice age - Wikipedia

Kuna mambo mengine hata si mizunguko per se, ila mambo kama sunspots, yani, maeneo ya jua ambayo yanakuwa na joto la chini na kusababisha imbalance katika nishati ya jua tunayoipokea, na hivyo kuweza kusababisha baridi sehemu ambazo hatujazoea.

Kama hujasoma zaidi kuhusu sunspots ona hapa .

Kwa hivyo kuna mambo mengi ya kujifunza.

Ila, kuna mjadala mkubwa kuhusu climate change na jinsi gani inasababishwa na shughuli za watu kama vile kukata miti, kuongeza hewa za Carbon kwenye hewa yetu, na mambo mengine mengi kama hayo. Kuna watu wanasema mabadiliko haya ya hali ya hewa kwa kiasi kikubwa yanatokana na shughuli za watu, na watu wanaweza kubadili muelekeo huu kwa kubadili maisha yao, kuacha kukata miti na kupanda miti zaidi, kuacha kutumia vibaya nishati na kupunguza utoaji wa Carbon kuipeleka kwenye hewa yetu. Na kuna wanaosema kuwa mabadiliko haya yanatokana na mabadiliko ya asili zaidi kama hizo ice ages na sunspots, mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu kuyabadilisha.

Kwa sasa, ushahidi mwingi wa kisayansi, pamoja na wanasayansi wengi wasomi, wanakubali kwamba mabadiliko ya hali ya hewa yanasababishwa na maisha ya watu, si mambo ya kiasili, na tuna muda mchache sana wa kuzuia na kusahihisha mabaya haya yanatotokana na matumizi mabaya ya nishati. Wanasayansi wasomi wa mambo haya wanaokubali hivi ni wengi kuliko wanaokubali kwamba haya ni matokeo ya mizunguko na mambo ya kiasili tu.

Labda kwa sasa niseme hivi kama sehemu ya kuanzia tu, halafu, tuweze kupata chachu zaidi ya kuendeleza mjadala kuanzia hapa.

Shukurani The Monk kwa heshima kubwa ya mualiko hapa.
Sawa mkuu. Ngoja nipitie hiyo "ice age" nione ni kitu gani.
 
Back
Top Bottom