Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima.

Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao maarufu na waliweza na wanaendelea kutikisa vivlivyo

Wachungaji:

Mwamposa (Bulldozer)
Mwalimu Mwakasege
Lusekelo (Mzee wa upako)
Mwaisapile (Babu wa Loliondo)

Waimba Gospel

Bahati Bukuku
Bony Mwaitege
Christopher Mwahangila
Ambwene Mwasongwe
Martha Mwaipaja
Edson Mwasabwite.
Ambwene Mwasongwe
Edson Mwasabwite.
Dkt. Ipyana
Mwansasu
Paul Clement
Kadhalika ua ndishwaji wa madhehebu mengi mpaka wengine wanaishi kwa 0 cost
 
U
Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima.

Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao maarufu na waliweza na wanaendelea kutikisa vivlivyo

Wachungaji:

Mwamposa (Bulldozer)
Mwalimu Mwakasege
Lusekelo (Mzee wa upako)
Mwaisapile (Babu wa Loliondo)

Waimba Gospel

Bahati Bukuku
Bony Mwaitege
Christopher Mwahangila
Ambwene Mwasongwe
Martha Mwaipaja
Edson Mwasabwite.
Ambwene Mwasongwe
Edson Mwasabwite.
Dkt. Ipyana
Mwansasu
Paul Clement
upijile malafyale
 
Mbeya Ni mkoa wa wasomi!
Ila ndo mkoa unaoongoza watu wake kupigwa na wachungaji, khaa?
Msomi gani hawezi kutafakari Mambo madogo tu!
Usomi wao unawasaidia Nini Sasa?

Kweli wasomi wako ulaya!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom