Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Kadhalika ua ndishwaji wa madhehebu mengi mpaka wengine wanaishi kwa 0 cost
 
U
upijile malafyale
 
Mbeya Ni mkoa wa wasomi!
Ila ndo mkoa unaoongoza watu wake kupigwa na wachungaji, khaa?
Msomi gani hawezi kutafakari Mambo madogo tu!
Usomi wao unawasaidia Nini Sasa?

Kweli wasomi wako ulaya!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…