Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Duh ...!. Amini usiamini, japo mimi ni Msukuma, sijabahatika kwa dada zangu!, ama kweli kwenye miti, hakuna wajenzi!, maana mimi kwa kupiga misosi... Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
P
Haahaha, mie nina nyota na hawa dada zetu uwa nikija bongo kila nikigusa mzigo nakuta ni dada yangu basi nawacharaza haswa wa poti, si unajua kizuri kula na nduguyo. Sijawahi kupata mnyakyusa na ujanja wote, nafikiri nina nyota na kanda ya ziwa haswaa wa poti.
 
Endelea hivyo hivyo kujilia nyakula vya kunyimwa, maana usije kupita Mbeya, Kisha ukapita ukapita Bukoba, ukachanganyikiwa kabisa!. Watu wanasifu sana maharage ya Mbeya wanasema maji mara moja tuu, na ni matamu ila Bukoba... ni hatari!, danger kabisa!, ukipita, nyumbani unahama!. Unahamia huku jumla!.
P
 
Pale kitimoto huku ngego ( mandizi manene)
 
Ukimwacha Boaz Dankan hii list yako tayari imeharibika
 
Ongezea Joe Davie yule wa Arushs
 
Haaaaaaaaa!!!,inaitwa tafsida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…