Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Ndo nakaribia ,

Una condom?

Mmh ngoja tuone,

Ntakua siji tena.....

Nakuja ila ntakaa chini

Kwan hatuwez kuonana sehemu nyingine

Hiyo nauli unatuma saa ngap


Nakuja ila kichwa kinaniuma sitaki unisumbue

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]




Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah....madem bwana
 
Wakuu,

Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..

Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?

Mimi;
  • Kazime Taa
  • Huyu hapa bodaboda muelekeze

Shusha nyingine unazozijua..
mi bado mdogo.
 
Back
Top Bottom