Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Ufunguo unawekaga wapi.., utanikuta kwako.. (ana nyege)

Upo na nan..? (Anataka ajue mzingira ya kuliwa)

Niandalie lile shat langu.. (apo kuna shati langu anapenda kulivaa kinoma akija getton)

nimekumiss hatar.. (anakaribia kuingia period so ana nyege sio za nchi hiii)

Niko hom mwenyewe niko bored.. (siku zake)

Me dada ako jeshimu, unaweza lakini? (Ananipima imani)

Niandalie kitu napendaga..

Niache.. kwanza hukunambia kama unataka tufanye hivi.... ( ****.., unakujaje getton kisenge senge jipange ukija getto.)



Hahah wanawake wasio kuwa wasumbufu Mungu awabariki sana nawapenda toka moyoni.
Wazinzi wengi[emoji13][emoji13]
 
Ndo nakaribia ,

Una condom?

Mmh ngoja tuone,

Ntakua siji tena.....

Nakuja ila ntakaa chini

Kwan hatuwez kuonana sehemu nyingine

Hiyo nauli unatuma saa ngap


Nakuja ila kichwa kinaniuma sitaki unisumbue

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]




Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nitakua siji tena kuna mmoja aliniambia, Baada ya show takatifu maana alianza dharau za hapa na pale.
Nikajisemea tu moyoni ipo siku ukiingia 18 utafuta dharau zote.
 
"sumenambia nije kukutembelea tuu"
"mi sijazoea romance"
"mbona hujibu text au nirudi"
"nmefika mbona haupo"
"a a a apana mi sikuuuja kwa kwa kwa ajili hiyo"
"mbona lakini unanifanyia iv ??"
"mi nataka kuondoka"
"a a a a usiiii a a a mi ntakuchukia"



mbona macho mekundu? apo baharia unakuw unapiga nae story ila akili inawaza hapa naanzaje kumshika na kumhamishia kitandani.
 
Hee we mbona unakadudu kadogo hivi..
Hata nilisikia basi ndo kwanza nikawanaweka tu mara nikasikia wewe sio hapo..[emoji1787][emoji1787]

Baharia nilikuwa naharaka..[emoji1787][emoji1787]

Daah... nimecheka kishenzi [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom