Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wee ni katundu🤣🤣🤣🤣Geuka nyuma
Binua juu
Nipe yote
Hii ndio yenyewe....fasta unaenda chukua vumbi la congo
Nikija siingii ndani nakaa nje
Hapana nimejibu swali la mwanzisha uzi😅😅Kumbe wee ni katundu🤣🤣🤣🤣
Mkuu majuzi ulimfanyaje kwani??Usirudie ule mchezo wako wa majuzi!
Hahaha unakaza zimeenda wapi?Sipati Siku zangu
Nilimfanyia rafu moja mbaya sanaMkuu majuzi ulimfanyaje kwani??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] legend
Hii, nakubali kwa 100%; lakini "kazime taa"!!! Sikumbuki ni lini nimewahi kuisikia hiyo kauli! Na hata akiniambia, there's no way nitaizima hiyo taa!!!Nakuja ila sikai sana