Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah....madem bwana
 
Wakuu,

Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..

Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?

Mimi;
  • Kazime Taa
  • Huyu hapa bodaboda muelekeze

Shusha nyingine unazozijua..
mi bado mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…