Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
- Thread starter
-
- #21
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo nakaribia ,
Una condom?
Mmh ngoja tuone,
Ntakua siji tena.....
Nakuja ila ntakaa chini
Kwan hatuwez kuonana sehemu nyingine
Hiyo nauli unatuma saa ngap
Nakuja ila kichwa kinaniuma sitaki unisumbue
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si umeshawhi kutana na mambo hizo..!!? Zimwage tuNasoma comments...
nauli unatuma saa ngap 🤣🤣🤣🤣Ndo nakaribia ,
Una condom?
Mmh ngoja tuone,
Ntakua siji tena.....
Nakuja ila ntakaa chini
Kwan hatuwez kuonana sehemu nyingine
Hiyo nauli unatuma saa ngap
Nakuja ila kichwa kinaniuma sitaki unisumbue
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
SindioooKwani si umeshawhi kutana na mambo hizo..!!? Zimwage tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] confess mamiloDuuh,.kitambo hizi mambo...ngoja nikumbuke nilikuwa nasemaje..
DuuHahha hapa utaskia we njoo kuna kitu kizuri
Lol😜[emoji1787][emoji1787][emoji1787] confess mamilo
Geuka nyumaWakuu,
Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..
Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?
Mimi;
- Kazime Taa
- Huyu hapa bodaboda muelekeze
Shusha nyingine unazozijua..
mi bado mdogo.Wakuu,
Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..
Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?
Mimi;
- Kazime Taa
- Huyu hapa bodaboda muelekeze
Shusha nyingine unazozijua..