Utaweza kupritendi kwa siku mbili tatu baada ya hapo unarudi tu kwenye uhalisia wakoExactly, 98% ya tabia ya mtu mtandaoni, ndio tabia yake halisi hata kwenye maisha ya kawaida, its not easy to pretend uhalisia wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]awe amekukandia sasaHakika kuandika ni zaidi ya kuongea, kuongea mtu huweza kutamka bila dhamira ila kuandika ni different story.
Ukikuta mtu kakuandikia hadi read more... then ukute ni credits anatoa, it feels awesome kwa kweli... yaani every time you go back through the message then unasema kumbe niko hiviii eeh kama vile hujawahi kujijua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh mbona unazidi kunivuruga zaidi eti..That sentence does not need clarification [emoji23]
Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..Hebu andika bwana hiyo essay nijisikie kidogo, inaweza kuwa na masahihisho pia [emoji16][emoji16]
bayern kwa sasa kitaa wanaitwa wanyonya damu, huyo lion anabahati mbaya sana kukutana na haya mabwana, kama unabeti huyu anakula 4+Lyon na Bayern ni leo. Bayern wameshinda mechi 19 mfululizo. Mechi ya mwisho wamempiga Barcelona bao 8.
Lyon katoka kumpiga City bao 3 kwa moja. Huku akiwa kazidiwa possession, Lyon alikua na 28% kwa 72%, mpaka pasi Lyon alipiga pasi 192.
Katika mechi za Pre season Bayern alimpiga mtu goli 21.
Unadhani leo itakuaje? Lyon atafanya maajabu yake kama kawaida?
Naomba maoni yako. Nataka nibeti.
Good Kijana. Unaweza kugeuza maneno hayo kuwa first step stone; "Baharia aya ya kwanza chapter 8"Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3😛amoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
Wow[emoji2956][emoji2956] haujui tu vile nimeona raha, hujazisema tabia mbaya ambazo unaziona ila hama ulivyosema, siku nyingine [emoji12]Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3😛amoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
Wewe platozoom acha majungu, na wewe tukuandikie essay kama unaona wivu [emoji57]Good Kijana. Unaweza kugeuza maneno hayo kuwa first step stone; "Baharia aya ya kwanza chapter 8"
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mimi na Ubaharia ni ardhi na MbinguGood Kijana. Unaweza kugeuza maneno hayo kuwa first step stone; "Baharia aya ya kwanza chapter 8"
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sifa no 3 inaweza ikachukua pande zote Mbili mbaya na nzuri....Wow[emoji2956][emoji2956] haujui tu vile nimeona raha, hujazisema tabia mbaya ambazo unaziona ila hama ulivyosema, siku nyingine [emoji12]
mkuu nawe kuna mda unawavaaga, kuna battle1 niliwahi kukushuhudia humu ndani hadi nikadata.Mimi mtaani Ni mtu mpole Sana watu wanipenda na kuniheshimu na watu huniona Niko smart, Ni humu tu JF ndo hutukanwa na watu hawanielewi.
Haswaa mwambie huyoMimi na Ubaharia ni ardhi na Mbingu
na ukiwa huku upoje mkuuMimi kwenye uhalisia wangu ni mpole,naheshima,sio kimya machachari .
Nasipendi kufuatilia life la mtu .
Ahaa sawaSifa no 3 inaweza ikachukua pande zote Mbili mbaya na nzuri....
To get a long with everyone sometimes ni vizuri pia inaweza kuwa viceversa....
I adore all of that!I assure you I'd never lower my standards.
I know my worth as a woman and I have a wedding band and I dress decently.
I do adore all of that...But its so intimidating that most married women act so promiscous these days! You are one of the luckiest women out there.I assure you I'd never lower my standards.
I know my worth as a woman and I have a wedding band and I dress decently.
Vijana wana slack sana sikuhiziInawezekana Karucee keeps her standards ila problem ni majority ya wanawake wa Dar na tabia zao.
Imefika mahali vijana wa Dar wakiona mwanamke wana 'tafsiri' zao kichwani ( zali la mental, umarioo, hawaridhishwi etc) hivyo hujaribu bahati zao.
Mfano ukisoma ule uzi wa rikiboy wa kula tunda kimasihara, kwa akili za vijana wataona kila mwanamke analika kimasihara hivyo hupata ujasiri wa ajabu kujaribu hata visivyo jaribika.