Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Hakika kuandika ni zaidi ya kuongea, kuongea mtu huweza kutamka bila dhamira ila kuandika ni different story.

Ukikuta mtu kakuandikia hadi read more... then ukute ni credits anatoa, it feels awesome kwa kweli... yaani every time you go back through the message then unasema kumbe niko hiviii eeh kama vile hujawahi kujijua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]awe amekukandia sasa
 
Hebu andika bwana hiyo essay nijisikie kidogo, inaweza kuwa na masahihisho pia [emoji16][emoji16]
Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3😛amoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
 
Lyon na Bayern ni leo. Bayern wameshinda mechi 19 mfululizo. Mechi ya mwisho wamempiga Barcelona bao 8.

Lyon katoka kumpiga City bao 3 kwa moja. Huku akiwa kazidiwa possession, Lyon alikua na 28% kwa 72%, mpaka pasi Lyon alipiga pasi 192.

Katika mechi za Pre season Bayern alimpiga mtu goli 21.

Unadhani leo itakuaje? Lyon atafanya maajabu yake kama kawaida?

Naomba maoni yako. Nataka nibeti.
bayern kwa sasa kitaa wanaitwa wanyonya damu, huyo lion anabahati mbaya sana kukutana na haya mabwana, kama unabeti huyu anakula 4+
 
Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3😛amoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
Good Kijana. Unaweza kugeuza maneno hayo kuwa first step stone; "Baharia aya ya kwanza chapter 8"

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3😛amoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
Wow[emoji2956][emoji2956] haujui tu vile nimeona raha, hujazisema tabia mbaya ambazo unaziona ila hama ulivyosema, siku nyingine [emoji12]
 
Wow[emoji2956][emoji2956] haujui tu vile nimeona raha, hujazisema tabia mbaya ambazo unaziona ila hama ulivyosema, siku nyingine [emoji12]
Sifa no 3 inaweza ikachukua pande zote Mbili mbaya na nzuri....

To get a long with everyone sometimes ni vizuri pia inaweza kuwa viceversa....
 
I assure you I'd never lower my standards.

I know my worth as a woman and I have a wedding band and I dress decently.
I adore all of that!
I assure you I'd never lower my standards.

I know my worth as a woman and I have a wedding band and I dress decently.
I do adore all of that...But its so intimidating that most married women act so promiscous these days! You are one of the luckiest women out there.
 
Inawezekana Karucee keeps her standards ila problem ni majority ya wanawake wa Dar na tabia zao.

Imefika mahali vijana wa Dar wakiona mwanamke wana 'tafsiri' zao kichwani ( zali la mental, umarioo, hawaridhishwi etc) hivyo hujaribu bahati zao.

Mfano ukisoma ule uzi wa rikiboy wa kula tunda kimasihara, kwa akili za vijana wataona kila mwanamke analika kimasihara hivyo hupata ujasiri wa ajabu kujaribu hata visivyo jaribika.
Vijana wana slack sana sikuhizi
 
Back
Top Bottom