Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Good.

Tatizo vijana wengi wanakuona unafaa kwa kuwa cougar.

I don't know why I have issues with younger men.

Huwezi kwenda out ukatulia kivyako lazima wajiongeze.[emoji37][emoji37][emoji37]
Geeez!!!!
 
Lmfao
 
kuna kauzi fulani japo sikakumbuki jina mkuu, kweli humu ndani kuna watu hulazimisha kugombana bt dawa yao ni kuwapuuza tu mkuu.
 
Maisha yangu ya huku ni tofauti kabisa na ya huko duniani
 
Maisha yangu ya huku ni tofauti kabisa na ya huko duniani
right bt huku ndani kuna watu wanadefence akati ukweli wanaujua kua baadhi ya mambo wanayofanya huku hawawezi fanya katika maisha ya kawaida.
 
right bt huku ndani kuna watu wanadefence akati ukweli wanaujua kua baadhi ya mambo wanayofanya huku hawawezi fanya katika maisha ya kawaida.
Wengi wanayofanya nyuma ya keyboard tofauti kabsa kwanza fake ids zinawabeba sana
 
kuna kauzi fulani japo sikakumbuki jina mkuu, kweli humu ndani kuna watu hulazimisha kugombana bt dawa yao ni kuwapuuza tu mkuu.
Vipo vya kupuuza na sio mtu anaandika uzushi au kukuita Malaya wallah nitamchamba mpaka achambike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…