Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana sema ni defensive mechanism tu, huwezi amini ukikutana na Khantwe anaweza akatepeta tu 🤣🤣🤣
Hahahaha, ase ila kuna wadada makauzu asee ,hata salam MTU unahofia kutoaHatari sana sema ni defensive mechanism tu, huwezi amini ukikutana na Khantwe anaweza akatepeta tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninavyokupenda nawezaje kukutukana jamani
Usikariri maisha wewe, wengine humu hawafanani na uhalisia hata 10%Ukiona mtu anatukana mtandaoni ndio tabia yake hata kwenye maisha halisi
Hem tulia weweHatari sana sema ni defensive mechanism tu, huwezi amini ukikutana na Khantwe anaweza akatepeta tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua unayajua, nitakutukana baadae nyumbaniTeh..Mi hata talaka sijui kuandika..Btw sijasema unitukane..Kuna yale matusi madogo madogo ya kipendwa mtu anakuwa nayo..We hauna??
Hahahah usihanye bi.mkali 🤣🤣🤣Hem tulia wewe
Kuna mwingine ni afisa wa serikali, kuna mambo ofisini au serikalini anaona hayapo sawa ila anaogopa kukemea, huyo hashindwi kuja humu kukemea mambo hayo.Kwanza mtu huwezi kufake miaka nenda rudi, unless wewe ni maarufu na una verified ID.
Hapo utajitahidi kukwepa baadhi ya maneno.
Ila with fake IDs most people are mostly real.
Wale wanaotumia neno NAMBIE mara tano kwa siku huwataki kabisaaa ?In real life unafaa kabisa [emoji38] huwa sipendi mwanamke wa ku cling na mashosti. I always get attracted to independent women..with independent kind of thinking!
Tunavutiwa na vitu vizuriGood.
Tatizo vijana wengi wanakuona unafaa kwa kuwa cougar.
I don't know why I have issues with younger men.
Huwezi kwenda out ukatulia kivyako lazima wajiongeze.[emoji37][emoji37][emoji37]
Hahaha kwa dharura sawaWale wanaotumia neno NAMBIE mara tano kwa siku huwataki kabisaaa ?
Najua unayajua, nitakutukana baadae nyumbani
Hahah duh...ila yule ni tofautiHahahaha, ase ila kuna wadada makauzu asee ,hata salam MTU unahofia kutoa
Ukitazama tu post zao unajua huu mziki si mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unawapata hao mademu ?Madem
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahah usihanye bi.mkali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usisahau na ile zawadi uliyoniahidi babeBasi leo ntawahi kurudi..
Kidogo tuHahaha kwa dharura sawa
Kupiga mkojo tuKidogo tu
Utasikia
Nakupenda
Nimekumis
Nimekukumbuka
Yaani utafiri sindano za masaa