Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi sijijui ni mtu wa Aina gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku ndani tunakujua kama mtumishi wa mungu bt hatujui hata kwenye maisha ya uhalisia upo hivoMimi sijijui ni mtu wa Aina gani
Basi itakuwa hivyohuku ndani tunakujua kama mtumishi wa mungu bt hatujui hata kwenye maisha ya uhalisia upo hivo
huo ukorofi kiasi huenda ndo nature yako bt hakukuzuii kua mtumishi wa munguBasi itakuwa hivyo
Huku now huwa naitwa mama mchungaji.
Huku ndani ni mkorofi kidogo
Yeahhuo ukorofi kiasi huenda ndo nature yako bt hakukuzuii kua mtumishi wa mungu
yes, humu ndani haswa panahtaji ukorofi kidogo ili mambo yawe sawia mkuuYeah
Ukorofi ni katika Hali ya kuchangamsha stori tu humu ndani
hongera sana mkuu.Mimi ni jitu pole,linyenyekevu muda wote kichwa chini nisigongane macho na mtu
Pamoja na hayo ukizingua nakufumua migumi ya mgongo,salama yako ni uniponyokehongera sana mkuu.
mkuu sikatai maana nawajua watu wapole ukiwazingua wanashow qali hatari.Pamoja na hayo ukizingua nakufumua migumi ya mgongo,salama yako ni uniponyoke
Kuna mtu nilimfumuaga migumi ya mgongo akaniponyoka akakimbia nilikuwa sijastukia mapema kama ameniponyoka yule aliyekuwa anaamulia ndio nikajua ndio yule ninaemfumua nilipostuka nikaacha vurugumkuu sikatai maana nawajua watu wapole ukiwazingua wanashow qali hatari.
watu wapole ukiwavuruga wanamtiti wa hatari, wanapiga mpaka unaeza omba poKuna mtu nilimfumuaga migumi ya mgongo akaniponyoka akakimbia nilikuwa sijastukia mapema kama ameniponyoka yule aliyekuwa anaamulia ndio nikajua ndio yule ninaemfumua nilipostuka nikaacha vurugu
yes, humu ndani haswa panahtaji ukorofi kidogo ili mambo yawe sawia mkuuYeah
Ukorofi ni katika Hali ya kuchangamsha stori tu humu ndani
Nakuaminia mtu wanguNiko hivi hivi
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]Nakuaminia mtu wangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi tabia yangu haina tofauti na ya kimtandao,
Napenda sana papuchi in real life na kuchakata ndio starehe yangu.
Full stop
Nmeitafuta Sana comments yakoMi tabia yangu haina tofauti na ya kimtandao,
Napenda sana papuchi in real life na kuchakata ndio starehe yangu.
Full stop
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeipata sasaNmeitafuta Sana comments yako
Zile ambazo huwa unahadithia humu ni za kweli?Mi tabia yangu haina tofauti na ya kimtandao,
Napenda sana papuchi in real life na kuchakata ndio starehe yangu.
Full stop
Yes asilimia 98% ni kweli mkuuZile ambazo huwa unahadithia humu ni za kweli?