Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

mkuu sikatai maana nawajua watu wapole ukiwazingua wanashow qali hatari.
Kuna mtu nilimfumuaga migumi ya mgongo akaniponyoka akakimbia nilikuwa sijastukia mapema kama ameniponyoka yule aliyekuwa anaamulia ndio nikajua ndio yule ninaemfumua nilipostuka nikaacha vurugu
 
Kuna mtu nilimfumuaga migumi ya mgongo akaniponyoka akakimbia nilikuwa sijastukia mapema kama ameniponyoka yule aliyekuwa anaamulia ndio nikajua ndio yule ninaemfumua nilipostuka nikaacha vurugu
watu wapole ukiwavuruga wanamtiti wa hatari, wanapiga mpaka unaeza omba po
 
Back
Top Bottom