Ukiachana na TEUZI, ni mabadiliko gani Samia ameleta nchi hii mpaka Sasa?

Ukiachana na TEUZI, ni mabadiliko gani Samia ameleta nchi hii mpaka Sasa?

MoseKing

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
4,928
Reaction score
8,976
  • Sheria kandamizi ziko vile vile
  • Teuzi za Watoto wa vigogo Kama kawaida
  • Nchi Ina vimfumo lundo ambavyo hata yeye mwenyewe hajui chochote
  • Mikataba mibovu ni Kama maji ya kunywa
  • Matumizi mabovu ya Pesa za umma kununua magazeti, media n.k
  • Masuala ya katiba yamekufa kifo Cha mende .Ni kanyaga twende
  • Migawanyiko ya kidini, utanganyika n uzanzibar unakua kwa kasi
  • Anakanyaga katiba kila wakati kufurahisha nafsi yake:
- Covid 19 bungeni
- Teuzi za RC na DC wenye miaka zaidi ya 60

- Baraza la mawaziri lililokaa wapigaji na wahuni wanaolindwa.

Anafanya Nini?

Note: Ukiona ndani ya baraza la Samia, unaona Kuna yoyote anaweza kusaidia nchi hii mbele Kama Kiongozi mkuu???

Maumivu TANI 900 huko mbele
 
Amefanikiwa tuu kupunguza kutugombeza majukwaani. Pia amefanikiwa kupunguza wimbi la watu kuokotwa kwenye gunia.
 
  • Sheria kandamizi ziko vile vile
  • Teuzi za Watoto wa vigogo Kama kawaida
  • Nchi Ina vimfumo lundo ambavyo hata yeye mwenyewe hajui chochote
  • Mikataba mibovu ni Kama maji ya kunywa
  • Matumizi mabovu ya Pesa za umma kununua magazeti, media n.k
  • Masuala ya katiba yamekufa kifo Cha mende .Ni kanyaga twende
  • Migawanyiko ya kidini, utanganyika n uzanzibar unakua kwa kasi
  • Anakanyaga katiba kila wakati kufurahisha nafsi yake:
  • Covid 19 bungeni
  • Teuzi za RC na DC wenye miaka zaidi ya 60

- Baraza la mawaziri lililokaa wapigaji na wahuni wanaolindwa.

Anafanya Nini?

Note: Ukiona ndani ya baraza la Samia, unaona Kuna yoyote anaweza kusaidia nchi hii mbele Kama Kiongozi mkuu???

Maumivu TANI 900 huko mbele
chuki zako kwa samia imekupofua

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
  • Sheria kandamizi ziko vile vile
  • Teuzi za Watoto wa vigogo Kama kawaida
  • Nchi Ina vimfumo lundo ambavyo hata yeye mwenyewe hajui chochote
  • Mikataba mibovu ni Kama maji ya kunywa
  • Matumizi mabovu ya Pesa za umma kununua magazeti, media n.k
  • Masuala ya katiba yamekufa kifo Cha mende .Ni kanyaga twende
  • Migawanyiko ya kidini, utanganyika n uzanzibar unakua kwa kasi
  • Anakanyaga katiba kila wakati kufurahisha nafsi yake:
- Covid 19 bungeni
- Teuzi za RC na DC wenye miaka zaidi ya 60

- Baraza la mawaziri lililokaa wapigaji na wahuni wanaolindwa.

Anafanya Nini?

Note: Ukiona ndani ya baraza la Samia, unaona Kuna yoyote anaweza kusaidia nchi hii mbele Kama Kiongozi mkuu???

Maumivu TANI 900 huko mbele
Amegundua biashara ya bandari, ana export uarabuni
 
Back
Top Bottom