Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Naendelea vyema still na p.o.p kutembea mwenyewe bila Clutches naogopa..Mkuu unaendeleaje na hali?
Kwa heshima na taadhima futa hii comment DrYapo mengi Sana mkuu
Kisukari
Pressure
Mawe kwenye Figo (stones)
Yapo mengi Sanaaa mkuu
Sawa mkuuKwa heshima na taadhima futa hii comment Dr
Nafurahi kusikia hivyo budda ,Ila usijali kuhusu hiyo mentality iache iendelee kuwepo utafika wakati itaondoka yenyewe usifosi kuipinga mentality najua unaelewa mambo ya psychology yalivyo isije kuleta mushkheri tena .Naendelea vyema still na p.o.p kutembea mwenyewe bila Clutches naogopa..
Imekua muda Sasa naogopa kuanza kutembea hii mentality still ipo kichwani japo Sina Maumivu sijui nifanyeje kuondoa hiyo Hali
Hopefully soon ntaanza kutembea Tena Kama zamani
Halafu ukitoka kwenye pepa unasema pepa ilikuwa rahisi sana matokeo yakija umetaga yai kumbe hukusoma vizuri swaliMiamba ni hii hapa
Cancer
Diabetes
Hypertension
N.k Japo miujiza ya kupona ipo ila ni kiduchu
Hepatitis BWakuu
Magonjwa ya kuambukizwa -Magonjwa yanayosababishwa na vimelea kama virus,bakteria na fungus.
Magonjwa yasiyoambukiza
-magonjwa ambayo hayahusishi vimelea fulan kama kisukar pressure magonjwa ya moyo.
Swali je ni ugonjwa gan wa vimelea mtu hulazimika kutumia dawa maisha yake yote?
Asante Sanaa kaka kwa Dua njema kwangu tupo pamoja 🙏🙏Nafurahi kusikia hivyo budda ,Ila usijali kuhusu hiyo mentality iache iendelee kuwepo utafika wakati itaondoka yenyewe usifosi kuipinga mentality najua unaelewa mambo ya psychology yalivyo isije kuleta mushkheri tena .
Allah aendelee kukufanyia wepesi ,Insh'Allah soon utarejea katika hali yako ya zamani .
Halafu ukitoka kwenye pepa unasema pepa ilikuwa rahisi sana matokeo yakija umetaga yai kumbe hukusoma vizuri swali
nani anaikuzaHIV inakuzwa sana kiasi kuwa sisi tuonaodeal na hao wagonjwa daily mnatufanya tuanze kuogopa na kuwanyanyapaa ilihali ni mambo ya kawaida
Hujambo mdogo wangu ,wasalimie kwetu haponani anaikuza
Haha hapa kwenu wazima kabisaHujambo mdogo wangu ,wasalimie kwetu hapo
kwamba hakustahiliKwa heshima na taadhima futa hii comment Dr
mmhJibu wewe uliyeelewa swali
Kidogo ukoma dawa zake ni kama za maisha yoteWakuu
Magonjwa ya kuambukizwa -Magonjwa yanayosababishwa na vimelea kama virus,bakteria na fungus.
Magonjwa yasiyoambukiza
-magonjwa ambayo hayahusishi vimelea fulan kama kisukar pressure magonjwa ya moyo.
Swali je ni ugonjwa gan wa vimelea mtu hulazimika kutumia dawa maisha yake yote?