BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Mwaka jana kuna binti aliniacha ghafla kupitia sms nanukuu "D nimefikiria nimeona hatuwezi fika mbali naomba tuachane" hapo ni baada ya dk kadhaa za kuambiana tunapendana akanipiga block kuanzia kwenye simu mpaka kwenye mitandao yake ya kijamii nikawa sina direct access ya kuwasiliana naye siku zikaenda likapita.
Na mimi mwezi uliopita nimepata katoto ka mwaka 2000 sasa alikuwa akipiga simu au kutuma sms nisipo respond kwa wakati ananijia juu hizo pigo mimi sijazoea maana kuna mood nikiwa nayo sipokei simu ya mtu yoyote labda iwe ya pesa tu sasa juzi kati tumekutana ananiletea pigo za kudeka anataka kudekezwa nilivyorudi geto nikafanya tathmini ya kina nikaona haya mahusiano hayanifikishi popote zaidi ya stress tu.
Ikabidi nimpe tofali asiwe na access ya kunipata sasa naona namba ngeni zinanipigia nikipokea mtu anajiliza namwambia nina kazi nitakupigia.
Sasa namba ngeni zinaenda kuwa na wakati mgumu kupokelewa kwenye simu yangu maana kuna loan officer wa bank fulani naye nilimblock ana mtindo wa kunipigia kwa namba ngeni.
Na mimi mwezi uliopita nimepata katoto ka mwaka 2000 sasa alikuwa akipiga simu au kutuma sms nisipo respond kwa wakati ananijia juu hizo pigo mimi sijazoea maana kuna mood nikiwa nayo sipokei simu ya mtu yoyote labda iwe ya pesa tu sasa juzi kati tumekutana ananiletea pigo za kudeka anataka kudekezwa nilivyorudi geto nikafanya tathmini ya kina nikaona haya mahusiano hayanifikishi popote zaidi ya stress tu.
Ikabidi nimpe tofali asiwe na access ya kunipata sasa naona namba ngeni zinanipigia nikipokea mtu anajiliza namwambia nina kazi nitakupigia.
Sasa namba ngeni zinaenda kuwa na wakati mgumu kupokelewa kwenye simu yangu maana kuna loan officer wa bank fulani naye nilimblock ana mtindo wa kunipigia kwa namba ngeni.