Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

Asante ndugu kwa ufafanuzi huu
 
Vikindu poa sana.
Karibu mkuu, utakukubali tu.
Ingawa suala la kiwanja bure sidhani kama lipo miaka hii.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Vya bure sio vizuri/salama πŸ˜… Ila Kibaha ni pazuri zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…