Kwa wiki unakula ugali mara ngapi nyumbani kwako?Kama chapati imekandiwa maziwa, nakula 2. Ila kubwa ya kawaida moja tu nakula. Sipendi sana chapati, ila kwa hapo bora ugali usepe tu.
Hao hawana elimu ya lishe, inashauriwa si nzuri kula chakula kizito usiku coz chote kinaenda kumeng'enywa into fatts and oil na Carbohydrate(wanga) kidogo sana.Watanzania tunahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya lishe.
Kuna kipindi fulani kuna jamaa nilikuwa naishi nao, walikuwa wanaishi kisela, sasa wao mida ya saa nne usiku unakuta wanagonga ugali mkubwa mithili ya mlima meru, baada ya hapo wanaingia kulala.
Kwa kweli nilikuwa nashindwa kuwashangaa.
Sasa fikiria na hao jamaa ni graduates wa Udom, ndio maana yule bi chau wa humu huwa anauliza, hivi mmeenda shule kusomea ujinga ?Hao hawana elimu ya lishe, inashauriwa si nzuri kula chakula kizito usiku coz chote kinaenda kumeng'enywa into fatts and oil na Carbohydrate(wanga) kidogo sana.
Wengi wanaenda shule kufaulu ili vyeti visomeke na marks nzuri wapate ajira, ila kuhusu wao kuwa well upstairs hawajari.Sasa fikiria na hao jamaa ni graduates wa Udom, ndio maana yule bi chau wa humu huwa anauliza, hivi mmeenda shule kusomea ujinga ?
Hata hayo machapati yote yamekobolewa mkuu!.Toa ugali uliokobolewa huo,kwanza hauna faida yeyote hapo
Lishe ina mchango mkubwa hata kwenye maswala ya uzazi usichoshe mwili upe vitu unataka ugali mkubwa hnakuchosha tu usikuWatanzania tunahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya lishe.
Kuna kipindi fulani kuna jamaa nilikuwa naishi nao, walikuwa wanaishi kisela, sasa wao mida ya saa nne usiku unakuta wanagonga ugali mkubwa mithili ya mlima meru, baada ya hapo wanaingia kulala.
Kwa kweli nilikuwa nashindwa kuwashangaa.
Mbona easy sana mkuu. Binafsi ningemimina mboga ya majani kwenye sahani, alaf ningetoa hiyo bakuli
Mi natoa viwili, chapati na ugali
FiHapo mi 'NTATOA' asante tu na kuendelea na malaji