Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mi ninachojua inapohusu suala la economic diplomacy ni promotion of deeper economic cooperationKea sababu Samia mshamba, hajui anataka nini. Hana big picture agenda. Anaenda kusaini MoUs za biashara tu.
Any fool can do that.
What is Samia's big picture agenda?
Hujajibu swali hili.
Kumuunga mkono ni tatizo lenu.Amesimamia kwenye hilo mpaka sasa mataifa mangapi ya Africa yamemuunga mkono?
Hayo yote aliyasema wakati Kenya inakabiliwa na upungufu wa US dollars ilifika kipindi wafanyabiashara wa Kenya walikuwa wanakuja Tz kutafuta US dollars?
Hilo lilikuwa ni tatizo lao la kiuchumi forex reserves yao haikuwa na dollars za kutosha inamaanisha tatizo liko kwenye exportation ili wapate dollars za kutosha kwenye forex reserves yao
Samia ni bendera kufuata upepo, wewe na yeye hamna tofauti, ndiyo maana wewe unamkubali na huwezi hata kuelezea anasimamia nini zaidi ya the unashamedly vague boilerplate "promotion of deeper economic cooperation".Mi ninachojua inapohusu suala la economic diplomacy ni promotion of deeper economic cooperation
Haya na wewe tuambie sasa kwa nini ziara za Samia hazina faida kwa taifa?
Alikwambia hivyo lini?Ila cha kushangaza hakutaka Watanzania wajue Kiingereza kama yeye mzee mchonga alifeli sana
Hii ni bangi sasaMbona rais wa wasafi WCB, diamond platnumz amepokelewa kwa heshima nchini marekani na barani ulaya 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Hapana mkuu Mimi situmii bangi mbichiHii ni bangi sasa
NimeshatajaKumuunga mkono ni tatizo lenu.
Samia kasimamia nini?
Haya majadiliano yamenionyesha kuwa Kiranga kumbe kwenye mijadala huwa hauna hoja za msingiSamia ni bendera kufuata upepo, wewe na yeye hamna tofauti, ndiyo maana wewe unamkubali na huwezi hata kuelezea anasimamia nini zaidi ya the unashamedly vague boilerplate "promotion of deeper economic cooperation".
That is boilerplate.
Huwezi kuweka big picture agenda ya Samia, kwa sababu hana.
Wewe umeniattack mimi bila sababu za msingi, kama unataka tufanye mazungumzo kwa Kiingereza tunaweza kuanza hata sasa kwenye huu mjadalaAlikwambia hivyo lini?
Toka aage dunia hadi leo bado hujui hiyo lugha, lakini huoni hata aibu kujitangaza wewe ni mjinga..., hapana, mpumbavu ndilo neno sahihi kwa mtu kama wewe.
Yes. Hata Mwinyi alikuwa vizuri kwenye ngeli. Kasikilze hotuba yake ya mwaka 1993 pale AICC wakati wa kuwapatanisha RPF na Serikali ya Rwanda.Raisi mwingine wa Tz ambaye alikuwa anatema yai ni mwanafunzi wake Nyerere wa pale Pugu, Benjamin W. Mkapa
Yeah umesema vyemaYes. Hata Mwinyi alikuwa vizuri kwenye ngeli. Kasikilze hotuba yake ya mwaka 1993 pale AICC wakati wa kuwapatanisha RPF na Serikali ya Rwanda.
That was some vague cut and paste boilerplate ambayo unaweza kuisema kwa kila rais, in fact inatakiwa kuwa katika job description. Hicho si ninachouliza, nauliza Samia yeye ana big picture signature issue gani kama agenda anayo i push?Nimeshataja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We bwana usitukumbushe machungu mana star wetu alipokelewa na P didy huko merikani ,[emoji1787][emoji1787]
Siyo sina hoja ya msingi.Haya majadiliano yamenionyesha kuwa Kiranga kumbe kwenye mijadala huwa hauna hoja za msingi
Mimi sio shabiki wa Samia lakini sijaona hoja zozote za msingi za kumkosoa kwenye ziara zake
Sasa kama hautaki hiyo unataka nini mkuu mbona haueleweki?That was some vague cut and paste boilerplate ambayo unaweza kuisema kwa kila rais, in fact inatakiwa kuwa katika job description. Hicho si ninachouliza, nauliza Samia yeye ana big picture signature issue gani kama agenda anayo i push?
Hata hujaelewa swali, pengine huna hata uwezo wa kuelewa swali.
Wewe ndiye mshamba ambaye unaona state visit white house kipaumbele.Siyo sina hoja ya msingi.
Wewe ndiye huna standard. Unaridhika kirahisi sana. Mimi nakuhoji unipe signature agenda ya Samia katika geopolitics, wewe unaniletea habari za vague cut and paste boilerplate ambazo zinatakiwa kuwa katika job description ya kila rais. Hujaelewa swali. Huwezi kujibu.
Na hili ni moja ya matatizo makubwa Tanzania. Wewe mshamba, rais mshamba. Hivyo huwezi kuona kwamba rais mshamba. Wote washamba, sasa utajuaje kwamba rais mshamba?
Hujaelewa swali. Huna uwezo wa kuelewa swali. Wewe ni kama samaki anayeishi baharini halafu nakuelezea habari za jangwa. Huna hata uwezo wa kuanza kufikiria nakwambia nini.
Hoja yako ni kama jibu tayari unalo. Raisi wa Kenya, Dr william samoe Ruto Phd. Leading a fastest growing economy in east africa, Hub of multinational corps like Kpmg, delloite, EY, Kenya stockmarket inajitangaza, They practice real democracy with newl born constituition.
Mchangonwa kenya kwenye afdb ni mkubwa na wa kiheshimika. Anapeleka askari Haiti kwenda kulinda amani. Sio muigizaji na dalali wa kuuza rasilimali. Sijasema wa kwetu yuko hivyo angalizo.
A man with substance in his head, ukisikiliza speech za ruto utaelewa ana akili kubwa sana na kenya ukiwa kihiyo huwezi kuwa raisi. Hat uhuru ni product ya usa universiyy with honors sio gentleman gpa. Hajaunga unga elimu
Hatuwezi kuelewana, tuna standards tofauti.Sasa kama hautaki hiyo unataka nini mkuu mbona haueleweki?