Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Mwehu wewe!
IMG-20241004-WA0009.jpg
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna ugumu wowote wa kutawala maiti. Kama huamini nenda mortuary ukaone kama kuna tatizo lolote kwa yule muosha maiti.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenya mtu anapigwa chini kwa kuendekeza kwao, yaani chattle au kisimkasi huko.

Tatizo liko wapi?
 
Kenya wapi mbali. Yani wananchi wanaongea hadharani kuwa wote Rais na Naibu wake waendelee nyumbani
 
Siasa za Kenya za kipumbavu mno. Ukabila wao umetukuka. Shukrani kwa waasisi wa Taifa hili kupiga marufuku ukabila. CHADEMA wanapambana kuwe na ukabila plus udini ila wananchi wameshawashtukia na tayari watakiadhibu CHADEMA kwenye sanduku la kura.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida kubwa kwako Siasa unaiangalia kwa urefu wa pua yako kuwa ccm wapo madarakani.
Jaribu kuangalia siasa katika mapama yake kuwa inasaidiaje nchi kujikwamua ki uchumi, elimu, sayansi na teknolojia pamoja na maendeleo ya jamii inayoongozwa kwa ujumla wake.
Siyo kukaa na kushinda uchaguzi ...kama kushinda uchaguzi ata CNDD ya Burundi inashinda uchaguzi kila siku au ZANU -PF za Mugabe.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwa nini tujilinganishe na Kenya na sio nchi ingine? Demokrasia ya Kenya haina hata umri wa miaka 30 kama sisi why tuone ndio role model wetu! Kweli maskini siku zote anajilinganisha na maskini mwenzie tu kama zuzu kujustify umaskini wake nimeamini! Why usijilinganishe na Israel iliyopitia kila challenge na kupass uende kwa shithole country mwenzio? Any reasons?
 
..Magufuli alitaka kumtoa Samia, bahati mbaya au nzuri Husseni akaamua kugombea Zanzibar.
 
Bahati mbaya Sana hukuona nguvu iliyotumika na CCM tarehe 23/09 mjini Dar sababu ya tamko la MTU mmoja tu. Mbowe...
Imagine tungekua na Mbowe watatu? Hapo Kimange hakutia neno.
Bado sijaongelea vile vyama vilivyokutana kwa dharura (sijui urgency ilitoka wapi)
Chama chako kingekua gwiji kisingefikia kule.
 
Back
Top Bottom