Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Wawekezaji wa nje wanaowaza kupiga resources za taifa letu TZ wanashindwa kuja kwa sababu ya Katiba na Sheria zetu zinawalinda watz zaidi kwa mfano ardhi ya TZ haiwezi milikiwa na wageni ndio sababu kubwa ya wawekezaji uchwara wa nje hawawezi kuja hapa TZ. Azimio la Arusha ndio lililowathibidi wawekezaji uchwara kuja TZ. Na mimi naomba usiku na mchana sheria ya umilikaji ardhi ibaki hivyo hivyo la sivyo vizazi vyetu vitakujapata taabu sana kama tutabadirisha sheria hiyo.
Mwezekezaji wa nje akitaka ardhi anapata kupitia TIC. Hata hivyo, ardhi yetu imeendelea kutwaliwa na Wahindi na Waarabu hivyo kuwa na matokeo yale yale.
 
Wewe ndio umefeli na chama chako chakavu na katiba chakavu.

Katiba yao Kenya inasema nguvu iko kwa wananchi na wananchi ndio wenye maamuzi kikatiba hivyo kuna ushirikishwaji wa mwananchi.

Umeona jana wananchi walivyokua wanatoa maoni yao Bomas pale , lini Tanzania wananchi waliwahi kujitokeza kujadili kama vile kumtoa ofisini kiongozi mwenye tuhuma?

Mwisho Gachagua hajaondolewa ofisi amepewa nafasi kwenda kufanya utetezi bungeni kuhusu tuhuma hizo baada ya kukusanya signature za wabunge alipojadiliwa akishindwa mjadala utahamia bunge la senate halafu ndio ataondolewa ofisini, lini Tanzania wabunge watakuwa na ujasiri wa kupiga kura za kutokuwa na imani na hata makamu wa rais na ukawepo mjadala wa wazi bungeni na wananchi baadae wakajadili kwa uwazi bila kuhofia usalama wao?

Hapo huoni tu gap , tayari bunge la sasa limejaa CCM kutokana na wizi wa kura 2020 yani wezi wajadili wizi?
 
Mwezekezaji wa nje akitaka ardhi anapata kupitia TIC. Hata hivyo, ardhi yetu imeendelea kutwaliwa na Wahindi na Waarabu hivyo kuwa na matokeo yale yale.
Kama siyo Mtz akigundulika ananyang'anywa siku hiyo hiyo. Unamkumbuka yule mhindi alikuwa anamiliki ardhi huko Mwanza baada ya kugundulika ana uraia wa UK alinyang'anywa ardhi instantly. Na uzuri wa TZ hatumiliki ardhi bali tuna-rent ardhi.
 
Kulinganisha Kenya na Tanzania nisawa na kumlinganisha mtoto wa darasa la nne na chuo kikuu.wewe kenya ni habari nyingine usilinganishe na uchafu.
 
Kenya unapaswa kuwalinganisha na ulaya na marekani sio hizi nchii za mchongoo zilizouzwa.
 
Cha ajabu maiti mojawapo ni wewe lakini kwa kujipapatua tu hujambo.Wewe huwa unampa tabu muosha maiti?
Unauliza au unapigia jibu mstari?
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ili ujue ccm ni baba au mama ingefaa kama umchukue samia na chawa wake wote umuweke kwenye kiti cha ruto
 
Back
Top Bottom