Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Kenya siasa hazijafeli, wapo mbali sana katika siasa za demokracy, sie bado tupo na siasa za, kipuuzi za detention bila hukumu, Eti unafungwa kwa kutukana picha ya rais, Mambo ya kipuuzi kabisa, Kenya imechangamka, watu wanajielewa, sawa kind ufisadi na ukabila mkubwa, lakini hata kwetu udini na ujinga ni mkubwa, Bora uwe maskini lakini upo hai unachakalika, bongo tupo hai, lakini tupo kwenye coma, we are brain dead! Kenya wametuacha kwa karne nzima,
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Wowote mnaotetea CCM ni akili mgando, wabinafsi na hata mafisadi wanaofaidika na siasa za matumboni.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Elimu,uwezo wa wakenya kufikiri,kutenda na upstairs uko juu mara 1000 ya wabongo
Bongo watu wamezoea kula na kulala Bure kwa wajomba na mashangazi.
Kenya uongo!
Pili kiswahili kimezalisha maneno mengi!!!
Mfano, kusoma na kuandika ni sofa ya kuwa mbunge Bongo, Kenya hata Saa100 hana uwezo wa kuwa mbunge.
Wenzetu ni akili kubwa!
Bongo msanii ni naibu waziri na lasaba ni mbunge! Kenya hiyo ilikuwa habari za mwaka 50 iliyopita.
 
Bingwa wa siasa za kibabe, u dictator ulijificha ndani ya nguvu ya unafiki, uchawa na vitisho. Juzi tulikuwa tunaimba chato chato, Leo tuko kizimkazi, tena Kwa high tone.

Hapa box halichagui kiongozi. Tofauti yetu na kiduku nation ni sisi tunaunafiki mwingi tuko tayari kuigiza uchaguzi na kupoteza mabilioni.

Angalia wazee kima kina Kolimba nini kimewakuta baada ya kutofautiana.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂

Wale hawana mwenge wa Uhuru ambao unazunguka Kwa miezi sita, mikoa yote, vijiji vyote, na wilaya zote,
 
Kenya ndio inazidi kuchanja mbuga.Miaka kadhaa mbele itakua mbali.Huwezi kuona ilo kama una akili kama vaselin.wewe endelea kukariri.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Lengo kuu la siasa kwa nchi yoyote ile ni kupata maendeleo. Hivyo basi Ifahamike kuwa maendeleo ya Kenya ni makubwa kuliko Tanzania.
 
Lengo kuu la siasa kwa nchi yoyote ile ni kupata maendeleo. Hivyo basi Ifahamike kuwa maendeleo ya Kenya ni makubwa kuliko Tanzania.
Maendeleo gani?

Mikopo ya Elimu ya juu imefeli

Bima ya Afya imefeli

Watumishi wa Umma hawajalipwa Mishahara tangu August
 
Hakuna ugumu wowote wa kutawala maiti. Kama huamini nenda mortuary ukaone kama kuna tatizo lolote kwa yule muosha maiti.
Mkuu una maana wewe ni maiti unaechat humu Jf?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
sikweli wananchi wa Kenya sio wajinga kama Tanzania na ndomana tunaongoza kwa ujinga Afrika

Serikali hata ifanye ujinga vipi na bunge mkokimya
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Pamoja na majigambo ya kijinga bado bajeti ya Kenya wasio na raslimali za kutuzidi inatunguka mara moja na nusu. Tanzanite ambayo inapatikana Tanzania tu Kenya ndio wauzaji na wanufaika wakubwa. Na kumbuka siasa ndio inatengeneza sera,halafu unaamka usingizini unasema wewe ni baba wa siasa, kwenye nchi ambayo wabunge na madiwani walipachikwa. Rejea aliyekuwa mkuu wa wilaya Longido na kazi mliyoifanya maporini. Labda ujilinganishe na Burundi.
 
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki

Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana

Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
Kenya ipo mbele ya Tz kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na siasa wala tusijilinganishe nao kwa sasa. Kenya ndio hub ya kampuni na mashirika ya kimataifa kwa hapa East Afrika. Kuliko kusifu vitu vya kijinga, tuje ni mkakati wa kuboresha elimu, miundombinu, diplomasia, uchumi ili tuwe giant of Afrika.
 
Back
Top Bottom