johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sio Afrika tu , dunia nzimaHuo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Jo nadhani wewe ni mental case iliyochangamkaHuo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππ
Hakuna ugumu wowote wa kutawala maiti. Kama huamini nenda mortuary ukaone kama kuna tatizo lolote kwa yule muosha maiti.Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Wewe hujui tuliambiwa na kuelemishwa hapo kale Kuwa Tanzania ni masikini sana lakini tuko juu na maarufu kwa siasa.Hizo siasa za ccm Tanzania zinaisaidiaje nchi kama bado sisi ni nchi masikini?
Shida kubwa kwako Siasa unaiangalia kwa urefu wa pua yako kuwa ccm wapo madarakani.Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki
Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana
Makanga na Dereva wote Must Go ππππ
Tatizo LA Kenya ni Ukabila tu