Ukiangalia tambo za mashabiki wa Simba na Yanga kwenye tv utajua kuwa 89% ya Watanzania hawana akili timamu

Mara mia wauawane tujue sio kuongea pumba yaani kushindwa kuficha ujinga
um3tumia kig3zo gani ambacho ni 'globally accepted' kujua kuwa hizo ulizozisikia ni pumba!?

Kwa kutumia akili yako huna mamlaka ya kudai alichoongea mtu mwingine ni pumba (bias). Kila mtu ana akili yake na inajudge vitu kulingana na mtu mwenyewe. Unachokiona pumba mwenzako anaweza kukiona 'point'. Tatizo linakuja pale unapojipa mamlaka na kuhisi akili yako inaweza kutumika kama kipimo pekee 'duniani' cha kupima 'pumba na point'
 
😂😂 😆 kweli mimi mpk leo shabiki wa Nyumbu ,ila mpira nimeona jinsi unavyowaendesha watu kama machizi mpango wa kuachana na mpira nilianza tokea Man U haijashuka kiwango .

Maana mpira ulinikaa sana nilikuwa siwezi kukosa mechi yeyote ile hata sidii ,video YouTube ni football kea sana nikaanza mdogo mdogo kujizoesha mambo mengine kama usomaji wa vitabu , historical movies ,games sasa mpira kwangu kitu cha kawaida sana naweza kuzicheka hata timu zangu zikifungwa sasa nimejikomboa kwenye 'mental slavery' kwenye mambo ya mpira ,miziki na siasa nipo barid kabisa .
 
Nje ya mada
 
Wewe ni mimi mtupu
 
Hiyo tunaita ni ume-evolve
Kutoka kwenye mampira mpaka kwenye vitabu [emoji122]

Still, mpira bado ni mchezo wenye ufuasi mkubwa duniani na music ndio burudani pekee inayowatia wengi faraja.

Na mtu anaweza kuwa mshabiki mzuri wa mpira au mziki lkn bado akabakia kuwa smart na mwenye mchango chanya kwa familia yake na jamii. Haifai kuwaona wengine 'wajinga' na 'wapumbavu' kama jinsi baadhi ya wachangiaji hapa wamewaita eti kwa sababu tu ni mashabiki lialia wa Simba/Yanga.

Nb: starehe ya mwenzio isiyo starehe yako machoni pako ni ujinga/upotezaji wa muda. Tuvumiliane
 
Kila mtu ana starehe yake, kama wewe hupendi mpira waache wanapenda Kwa sababu zinawatoa stress
Ushabiki wa soka bongo ni wa kipumbavu, kishamba na kijinga. Kukejeli mtu binafsi kwao ndo ushabiki. Mara ngapi unasikia Babra wa Simba anadhihakiwa kwa sababu ya uanamke wake na watu wanaona sawa tu kwa kuwa hayupo upande wao?! Mara ngapi Manara anaitwa Sope, Takadini, Zeruzeru na tunachekelea tu tunaona sawa.

Kwako hiyo ndo starehe?! Kama inakutoa stress fresh tu basi kuna tatizo mahali.
 
Nasisitiza tu

Kama mwanaume Hupendi mpira, ni heri ukamwomba mpenzi wako akufunze kufuma vitambaa
 
YAh,kweli kabisa hata mimi mpaka leo nacheki ila kwa kuchagua mechi mfano Uefa kuanzia robo final tena mechi kali .

Nikienda kwenye vibanda umiza mitaani au vijiweni wabongo jinsi wanavyobishana na ushabiki wao ulivyopitiliza inasikitisha sana wengine mpaka hufikia stegi ya kukufuru kabisa mfano jamaa kidume ambaye alisema yuko tayari kumzalia Mayele mtoto ,watu kutukaniana wazazi na nimeshudia mtu kisa Simba na Yanga aliweka kidau kreti ya bia huku familia ukishindia sembe na dagaa
 
Nasisitiza tu

Kama mwanaume Hupendi mpira, ni heri ukamwomba mpenzi wako akufunze kufuma vitambaa
Wapi nmesema sipendi mpira?

Usikute wewe ni mmoja walikuwa wanahojiwa wanaongea utumbo

Maama reasoning yako ni kama ya mbw"
 
Unajikuta wewe ndio punguani usiye na akili. Unapangia watu starehe na vitu vya kufanya. Unajisikiaje mama yako kuonekana hamnazo kumkubali baba yako pengine maskini mchafu.
Hao UK, Spain wanajaza uwanja au kununua tiket zoote kabla ya msimu kufuata nini. Usipangie watu mapenzi
 
Ili uwe mshabiki hasa wa Simba au Yanga lazima uwe na ka-utaahira flani ndani yako.

Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuu?
 
Utakuwa ni mmoja waliopewa mic ukaongea ujinga
 
Unaweza hisi mleta mada ana akili sana kumbe hamna lolote. Yaani unaanzaje kupangia watu kitu cha kuwafrahisha? Wewe kama uko na stress ni kivyako.
 
Baadhi ya wabongo mna ujuaji wa kipuuzi sana. Anyaway kiongozi wako wa upinzani ni shabiki mkubwa yanga
 
Huyu atakuwa bado mtoto,Napoli washabiki wanakanyagana kwa sababu tu ya kutaka kumuona Maradona
Boss embu fuatilia kwanza ndo uponde watanzania wenzako kwa kuwalinganisha na hao. Wale wanahistoria mpaka za visasi vya kuuana sabb za ushabiki.
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…