Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

Maswali mawili:
1. Kwa nini asimteue Bernard Membe kuwa mshauri wake wa Mambo ya Usalama?
2. Kwa nini anaogopa kivuli Cha bwana yule? Mwisho, ni hasa kilimuua JPM?
 
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums

Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

View attachment 1754058

Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu ni mwanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini Tanzania. Alikuwa mbunge wa jimbo la Makunduchi visiwani Zanzibar kuanzia 2010 hadi 2015, na alikuwa waziri wa nchi anaeshughulikia muungano katika muda huo.

Samia Suluhu Hassan ndiye makamu wa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania. Kabla ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa Rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

SWALI: Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Samia's dilemma.jpg


Mimi nasubiri nione kwanza hiyo IN TRAY itamchukua muda gani kuwa tupu!
 
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums

Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

View attachment 1754058

Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu ni mwanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini Tanzania. Alikuwa mbunge wa jimbo la Makunduchi visiwani Zanzibar kuanzia 2010 hadi 2015, na alikuwa waziri wa nchi anaeshughulikia muungano katika muda huo.

Samia Suluhu Hassan ndiye makamu wa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania. Kabla ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa Rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

SWALI: Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nitamuuliza yafuatayo...

1. Kwanini anapenda Kurembua sana?
2. Sauti yake ya Kimahaba katoa wapi?
3. Je, alishwahi Kuchepuka kwa Mume?
4. Anauzungumziaje Usagaji nchini?
5. Anawapenda Wakristo na Ukristo?
6. Kitaaluma kasome Fani ipi / gani?
7. Nae anapenda Kuibiwa Mume?
 
Nitamuuliza yafuatayo...

1. Kwanini anapenda Kurembua sana?
2. Sauti yake ya Kimahaba katoa wapi?
3. Je, alishwahi Kuchepuka kwa Mume?
4. Anauzungumziaje Usagaji nchini?
5. Anawapenda Wakristo na Ukristo?
6. Kitaaluma kasome Fani ipi / gani?
7. Nae anapenda Kuibiwa Mume?
mhhh
 
Mama hapendi kusema Bwana Yesu asifiwe so kaona aseme tu anatusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano.

Sina swali lolote kwake,,, apige tu hela nae aende zake aje mwingine.

Hii nchi yetu sote, bila katiba ikulu itakuwa ni upigaji tu
 
Mama hapendi kusema Bwana Yesu asifiwe so kaona aseme tu anatusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano.

Sina swali lolote kwake,,, apige tu hela nae aende zake aje mwingine.

Hii nchi yetu sote, bila katiba ikulu itakuwa ni upigaji tu
"Bwana Yesu asifiwe" ina maana gani hii kauli?
 
Mama amekuwa akitaja au kutuambia kuhusu yeye kuunda kamati ya corona ila haelezi japo kidogo tu hiyo kamati ni nini hasa inafanya na ni kipi hasa kilichomsukuma hadi kufikiria kuunda hiyo kamati ya corona?
 
Back
Top Bottom