Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

Mama Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi unatuletea lini? Swali la nyongeza wale Covid-19 lini utawatimua mjengoni?
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums

Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

View attachment 1754058

Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu ni mwanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini Tanzania. Alikuwa mbunge wa jimbo la Makunduchi visiwani Zanzibar kuanzia 2010 hadi 2015, na alikuwa waziri wa nchi anaeshughulikia muungano katika muda huo.

Samia Suluhu Hassan ndiye makamu wa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania. Kabla ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa Rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

SWALI: Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Mama Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi unatuletea lini? Swali la nyongeza wale Covid-19 lini utawatimua mjengoni?


Atakuwa ameweka Legacy kubwa sana ya kukumbukwa na hata vizazi vya sasa na vijavyo!

Wenzetu Kenya Mbona ni jambo rahisi na linalowezekana kuandika Katiba pale inapohitajika?

Kanini Tanzania inaonekana kama jambo hilo ni kwa kutegemea hisani ya Rais anayeongoza?

Tanzania tunakwama wapi?

Tujifunze toka kwa jirani na ndugu zetu Kenya.

Wenzetu walishatikaga siku nyingi kwenye mambo ya teuzi teuzi za nafasi za kazi, nafasi nyingi ni za kwa kuomba, interview , vetting n.k

Ni mfano IGP, n.k wanafanya kuomba na kupita kwenye mchujo mkali sana hadi kupatikana.

Halafu inamantiki kubwa kwa mtu kuanza kuomba mwenyewe nafasi au kazi fulani inamaana kubwa kwenye performance results.

Inamuandaa mtu kuwa committed kwa kile anataka kwenda kukifanya.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kabisa Mkuu ndiyo matatizo ya kutoangalia the big picture and thinking outside the box. Anachokiona hapa yeye kama waliomtangulia ni maccm kushindwa uchaguzi lakini anasahau kwamba wapiga kura tutakuwa na choice ya kuamua chama kipi kituongeze kutokana na kufanya vizuri wakiwa madarakani au kubofoa.
Atakuwa ameweka Legacy kubwa sana ya kukumbukwa na hata vizazi vya sasa na vijavyo!

Wenzetu Kenya Mbona ni jambo rahisi na linalowezekana kuandika Katiba pale inapohitajika?

Kanini Tanzania inaonekana kama jambo hilo ni kwa kutegemea hisani ya Rais anayeongoza?

Tanzania tunakwama wapi?

Tujifunze toka kwa jirani na ndugu zetu Kenya.

Wenzetu walishatikaga siku nyingi kwenye mambo ya teuzi teuzi za nafasi za kazi, nafasi nyingi ni za kwa kuomba, interview , vetting n.k

Ni mfano IGP, n.k wanafanya kuomba na kupita kwenye mchujo mkali sana hadi kupatikana.

Halafu inamantiki kubwa kwa mtu kuanza kuomba mwenyewe nafasi au kazi fulani inamaana kubwa kwenye performance results.

Inamuandaa mtu kuwa committed kwa kile anataka kwenda kukifanya.
 
Watanzania ni watu wenye uelewa wa hali ya juu sana sasa basi tuweke sheria madbubuti kwa wawekezaji wazalendo kuanzia umri wa miaka 18-30 wanaoanzisha makampuni yanayohusiana teknohama wasilipe kodi wafanye kazi katika kipindi cha miaka 5 baada ya hapo waanze kulipa kodi.

Kingine tuje na sera kama taifa ya kupambana na urasimu na kuweka uzalendo mbele ndani nje ya kimataifa.
 
Nink
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums

Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

View attachment 1754058

Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu ni mwanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini Tanzania. Alikuwa mbunge wa jimbo la Makunduchi visiwani Zanzibar kuanzia 2010 hadi 2015, na alikuwa waziri wa nchi anaeshughulikia muungano katika muda huo.

Samia Suluhu Hassan ndiye makamu wa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania. Kabla ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa Rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

SWALI: Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ni kwa Nini yeye na meko waliapanga kumuua lisu
 
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums

Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

View attachment 1754058

Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu ni mwanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini Tanzania. Alikuwa mbunge wa jimbo la Makunduchi visiwani Zanzibar kuanzia 2010 hadi 2015, na alikuwa waziri wa nchi anaeshughulikia muungano katika muda huo.

Samia Suluhu Hassan ndiye makamu wa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania. Kabla ya kuwa Rais kutokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa Rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

SWALI: Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Marais wa Africa na hasa Tanzania hawajibu maswali. Na wakijibu ni heri wasingejibu,
 
Watanzania ni watu wenye uelewa wa hali ya juu sana sasa basi tuweke sheria madbubuti kwa wawekezaji wazalendo kuanzia umri wa miaka 18-30 wanaoanzisha makampuni yanayohusiana teknohama wasilipe kodi wafanye kazi katika kipindi cha miaka 5 baada ya hapo waanze kulipa kodi.

Kingine tuje na sera kama taifa ya kupambana na urasimu na kuweka uzalendo mbele ndani nje ya kimataifa.
Ukibahatika kukutana na Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan "face to face" utamuuliza swali gani la msingi?
 
Back
Top Bottom