Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Bachelor unatukimbia.Me naona hivi karibuni I mean naanza kuishi maybe then tutakujaga kubariki mbeleni
The seeker yupo wapi?Aiseee,unakosa uhondo mweh!!!
Kaenda new zealand huko..πThe seeker yupo wapi?
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£siku wanapishana maghetto ya wajuba mimi ni nani nikimbilie!
Na ni kipimo cha kupata position kubwa kubwa katika jamii. Kama huna hata familia ya wtt wawili utaweza kuongoza taasisi nyeti kweli?Ndoa si rahisi ,ila pia inategemea na bahati yako kwa uliyemuowa.Wanawake huwa wanabadilika badilika lakini disadvantage ya kuwa single baada ya miaka 28 plus ni hatari zaidi. Ila ni muhimu kuowa na kuanzisha familia .Ndoa ni muhimu sana kwa afya ya wanadamu na ni kipimo cha uvumilivu na maelewano kati ya watu wawili.
πππππwamama zangu na bibi yng walikuw kila siku ndio wimbo wao nioe kwa asira niliwajibu wao toka waume zao wafe mbona hawajaolewa?!ikabid waache kuniuliza hadi wametangulia mbele y haki kwa mpigo
Wamama zangu na bibi yng walikuw kila siku ndio wimbo wao nioe kwa asira niliwajibu wao toka waume zao wafe mbona hawajaolewa?!ikabid waache kuniuliza hadi wametangulia mbele y haki kwa mpigo