Ukichelewa kuoa unapunguza Muda

Ukichelewa kuoa unapunguza Muda

Hata hivyo ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, ukishajijua zimepungua tulia tu uiepushe jamii na shurba za hapa na pale.
Na hao wanawake wenye akili ni wale ambao siku wanaolewa wanaenda kutomban* na X eti wanaagana.

Kuna mmoja humu ana akili huyoo, alileta Uzi ana jamaa hampendi hata Ila anapenda gari lake tu kwasababu kwahongwa gari na jamaa.
Kwenye huohuo Uzi, mmoja aka comment "bora wewe mchumba, Mimi Nina mume kanioa kabisa nilipenda Mali zake Ila sijawahi mfurahia kabisaa"

Kama hizi ndio akili tunazozioa acha tu niwe TAHIRA.

#YNWA
 
1. Kuna magheto ya kupanga yana gypsum naleta mbususu ndani ikipiga kelele gypsum inazuia, kelele zikiwa nyingi nawasha sabufa naweka Rihanna "Man Down" mdundo mkubwa jirani asikii kelele za mahaba.

2. Kuna Rice cooker, Pressure cooker, multi cooker, na gas.
Kila kitu kimerahisishwa kwenye kupika.

3. Kuna kina maza wa kufua, kila weekend wanapita gheto kuulizia nguo za kufua.

Uhondo GANI huo nakosa?

Kuoa ni majanga

#YNWA
Alafu mtu anakushauri et ulete mwanamke umfuge ndani, mjambiane every night for 365 days!!! aisee hapana❌
 
Kuoa ni lazima umuhimu ni huu hapa.
Ukiumwa
Ukiishiwa ni mke tu anakukubali na hali yako anakusitiri.
Nimke pekee anayekuelewa huvumilia pale umebadilika kuanzia pesa na vitu vingine .
Ukiwa haupo yeye huwa anawasiwasi sana nakuanza kukutafuta.
Mke ndio huwa sehemu kubwa katika furaha ,shida zako.
Hukusaidia
Anakupenda anakujali.
Huakikisha unaraha sana.
Ukiwa na raha anaraha
Shida ya leo watu hujifanya wazungu hawaambiwi kitu.
Hawajui kwanini wameoa au kuolewa.
Hawataki kupewa masharti ya familia.
Ukioa jua unamajukumu ubachela umeacha kwa hiyo achana na wale marafiki single inabidi uwe na marafiki wanaojua ndoa nini wanaojali familua zao tokea mke hadi nawatoto na ndugu pande zote mbili.
Penda kufundishwa pale umekosea ila wasasa ni wanafanya ndoa kama utani hapana ndoa ni kuleta kizazi chako duniani unaanzisha uzao wako unaanza baba,babu ,babu ,babuuu.
So unatakiwa kubadilika sio kila mtu ni rafiki na sio kila mtu anakupendea hatua uliyoipiga kwa maana ndoa ni hatua kubwa kupata kile roho inataka.
Shida nyie hamjui yupi ni sahihi kwako zamani kunahatua zinachukuliwa hadi uoe uwe umechaguliwa au umechagua ila kwa sasa nyie mnachukuana guest halafu mnapelekana nyumbani halafu mnaoana.
Hapana hamjui kuchagua pia.
Kukaaa sana ndio uoe sio raha kuzaa tu ovyo sio sifa na ubaya siku hizi watu hawatakiani .
Na sheria nyingi zimevunjika nani kawapa ruhusa watu hawajaoana wanabatiza mtoto na kubarikii?
Na wanawake wengi nao wanajiabisha nani kawadanganya kubeba mimba za watu ndio dili?
Eti kisa nikifa nani atabaki mimi nikumbukwe nani kakudanganya?
Kuzaa ovyo ndio unatumika anaolewa kipya na kuzaa kwenye ndoa mtoto wako anammisi baba kisa kutokaa nakuwaza future yake mimba sio kila mtu hawezi kupata ila wengine wanasubiri wakati sahihi kwa muda sahihi .
Hata 45 wait uolewe upate mtoto kwa muda sahihi unazeeka mapema kisa unalea mtoto ambaye hakustahili kwa huo muda ndoa tu ndio ikufanye uwe na watoto ambao wanahaki kwa baba yao na kizazi chao.
Hamjui nani sahihi baadaeni
 
Kiukweli hata mm isingekuwa kuzaa sioni haja ya kuoa maana wanawake umiza kichwa nshakaa nao naona bora niishi maisha yangu
 
Wazee wetu wangekuwa wanaogopa kuoa kwa kuangalia matatizo ya ndoa za wenzao. ndhani wengi tusingekuepo.

Matatizo haya ya serve as darasa, lakin yasitumike kama kisingizio
Nafikiri hujamuelewa mleta mada
Kama tayari ushapata watoto kuna haja gani ya kuoa
 
Mkuu tofautisha wanawake wa kale na wasasa,waswahili wanasema ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji tatizo mwenzetu humebatika mwenye maadili ya kali ila ungepata hawa digital nadhani ungeniunga mikono na miguu kwa ninacho ongea
Sio wote ila 90 %wako unavyosema wanadai ni wazungu
 
Pata picha umepata ajari umevunjika miguu yote miwili au umepofoka macho yote mawili uoni hao wanawake ulizaa nao wameolewa wote au kama awajaolewa wanaishi na mabwana zao au kama hawana mabwana zao bac jua wana wanaume zao.

Point yangu ni hivi ukipatwa na hayo maswaiba jua kwamba huto weza pika huto weza fua nguo utoweza kuoga huto weza fanya chochote kile ndugu zako watakuchukua na ukubwa wako uwo wote sio watakulea weee lakini mwisho wa siku watakuchoka tu.

Je kama ungekuwa umeoa una mke wako arafu umepatwa na hayo majanga ww unazani angekuchoka kweli???c angekuhudumia mume wake angeangaika ma ww kufa na kupona arafu pia utakuwa na heshima ya kuoa mwanamke .

Mzee ndoa ni muhimu mno nipo kwenye ndoa mwaka wa 18 huu nimeoa nikiwa bado kijana msogo(19) mwaka 2002 mno mpaka saizi na miaka 37 nipo kwenye ndoa mke wangu alikuwa na umri wa miaka 17 tuu nilimkuta ana mtoto mdogo ambae sio wangu mm mpaka leo yule dogo ana miaka 20 nimemtafutia kazi dogo anafanya kazi..

Tuna watoto 7 saizi tunaishi kwa upendo na amani nimejionea mengi mno kwenye ndoa tena sana maisha ni kivumiliana akuna alie kamilika kazi ninayo fanya laiti ningekuwa na mwanamke mwingine bac angeniacha mda mrefu sana..

Naweza kaa miezi 4 mpaks mi5 cjarudu home kuna kipindi nilisafiri njee ya nchi nilikaa mwaka mzima sijarudi nyumbani lakini yule mwanamke akaa vzr na familia wanaishi vizuri hana tamaa na wanaume ni mtu wa dini nilipo mtoa Mungu ndo anajua tulipo toka Mungu ndo anajua tumepitia Mengi sana.

Imagine tuna atujafika 40 lakini tuna watoto 7 now na tuna furaha na amani na nikikuonesha huyu ni mke wangu ana miaka 36 ana watoto 7 uwezi amini ila uwo ndo ukweli....

Ndoa ni kuvumiliana ndoa ni taasisi ambayo inahitaji mwanaume jasiri mwenye misimamo mamamuzi magumu yenye busara ndani yake ili maisha yaende ndo sio jambo la kukurupukia tuu hapana ndoa ni taasisi pana sana....fungeni ndoa vijana acheni uoa ndoa ni tamu ukimpata mnae endana...

Kama ni mtu wa kusafiri sana halafu mna watoto 7 kapime DNA mkuu unaweza kuna mtoto wako ni mmoja tu [emoji28][emoji28]
 
Huu Uzi naona Kama umekaa kibaguzi baguzi hivi[emoji18]
 
Ndoa ni Tendo linalokupa nafasi ya kuumda Taasisi yako imara, Taasisi ambayo itakusaidia kuwakopesha watoto wako Upendo ambao watakulipa ukiwa mzee, Ndoa ni zaidi ya kuzaa tu watoto, inakupa nafasi ya kutengeneza bond na watoto na hivyo baadae watakulipa upendo kipindi ambacho wengi wa ndugu na marafiki hawatakuwepo na wewe. Fikiria upendo unaoupata sasa kwa ndugu zako na marafiki na baadae kila siku zinavyokwenda mtazidi kua mbalimbali, hivyo nyakati za uzee wako ndio utavuna matunda ya upendo ulioupanda kwa wanao. Kuzaa tu huko na kununua nguo na chakula haikupi nafasi ya kupanda upendo kwa watoto, hivyo usitegemee upendo wao ktk uzee wako. Oa, Muombe Mungu akupe kizazi chema, lea ktk maadili, watunze na kuwapenda na wakati umeishiwa nguvu watakupenda na kukujali, zaa hovyo, nunua nguo na chakula pasi na kujenga upendo then watakupa nguo na chakula uzeeni lkn hutopata mapenzi.
 
Back
Top Bottom