Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Dah pole sana yani kama mpaka baba ndiyo alopanga hili liwe walijua kukufedhehesha nadhani kama mm ningekuwa ndiyo baba wa uyo kijana ningemwita nakumweleza ukweli mwanangu aanze maisha mapya kuliko anayoyatafuta yatampa maumivu mbele sijajua kwa kipindi kama hiki umeamua kumove on unadhani anahali gani si analazimisha kuwapa dhambi yakuonekana unamtenga wakati anajua hali yake kuliko hiyo fedhea isiyovumilika kwa yeyote yule.
Nilishindwa niliweza tu miezi 6 mingine nilishindwa
 
Hilo govi linatunza uchafu, whichi means magonjwa ni nje nje.

Mikono ya sweta ikatwe
Wanayasafishaga magovi yao.

Mi langu lilikatwa kabla sijaanza chekechea, natamani ningelikata ukubwani ili nionje huo utamu wanaousema kisha ndo nilikate.
 
Ukitaka kupewa shughuli ya maana nenda kaolewe na muuza njugu ,mkaa au karanga.
 
Back
Top Bottom